Miss Pirate
JF-Expert Member
- Oct 27, 2010
- 305
- 74
..akisha maliza kubandua karatasi, atamimina kinywaji chake kwenye glasi-hapo atajaza mpaka imwagike ndo atashtuka kuwa imejaa!
Akiibeba glasi inamwagikia kwenye nguo halafu anainywa kama chai(phooow). domo limelegea macho yamelegea viungo ovyo na kiingereza kinaanza kuchanganya.