Tunashuhudia Mara nyingi tuu nchi mbalimbali ikiwemo Tanzania zikibadilisha aina ya fedha zao yaani noti to coin, coin to coin na noti kwenda noti mpya
Je hii inamaanisha uchumi umepanda au umeshuka? Pia zoezi hilo linaigharimu seriKali kivipi na lina faida gan?
Je hii inamaanisha uchumi umepanda au umeshuka? Pia zoezi hilo linaigharimu seriKali kivipi na lina faida gan?