MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Ufuatao ni Mjumuisho wa Kauli yake Moja tu aliyoitoa kila alipokuwa akihojiwa kuhusu Maoni yake juu ya Rufaa ya Yanga SC dhidi ya Wakili Msomi Raia wa Ghana Bernard Morrison aliyewamwaga Utumbo leo kwa Kushinda....
"Nawashauri Yanga SC waachane na kutaka Kukata Rufaa huko CAS kwani wanapoteza tu muda wao na Pesa kwani hawatoshinda kutokana na Ushahidi toshelezi kutoka kwa Kamati ya Rufaa ya TFF ambayo kwa Haki kabisa imemuidhinisha Mchezaji Bernard Morrison kuwa Mchezaji halali wa Simba SC" alisema Ismail Aden Rage.
Leo mtanikoma hakyanani mvumilie tu!!
"Nawashauri Yanga SC waachane na kutaka Kukata Rufaa huko CAS kwani wanapoteza tu muda wao na Pesa kwani hawatoshinda kutokana na Ushahidi toshelezi kutoka kwa Kamati ya Rufaa ya TFF ambayo kwa Haki kabisa imemuidhinisha Mchezaji Bernard Morrison kuwa Mchezaji halali wa Simba SC" alisema Ismail Aden Rage.
Leo mtanikoma hakyanani mvumilie tu!!