Ni mtabiri mzuri alijua kuwazia mbeleni kitatokea nini
Ni mtabiri mzuri alijua kuwazia mbeleni kitatokea nini
Kwakwel anatishaNi mtabiri mzuri alijua kuwazia mbeleni kitatokea nini
Wala sio utabiri, huyu alileta mipango toka jikoniNi mtabiri mzuri alijua kuwazia mbeleni kitatokea nini
Ha ha ha ha ha atakuwa alitabiri tu ndugu kwani jikoni kulikuwa na kina zito, Lipumba n.k!?
50% pekee!? Umetumia kikokotoo cha brand ipi ndugu!?50% yamesha timia !!
Sent using kidore
... nahisi ni yeye mwenyewe.
Vipi bora dikteta ee!Bora aje huyo dikteta kuliko kuwa na democrat ambaye ni mzururaji na mbabaishaji (unconcerned).
Hata hii ya kwako nayo ni ya kufikirika....Story za kufikirika.....................
Ukweli ni kuwa hiyo "mission" ilipangwa muda mrefu na wabaya wa Chadema, ambao si wengine bali ni Sisiem
Wakatumia strategy ile ile ya kwenye Bible ya Samson & Delilah
Kwa hakika aliyatoa kichwani.