Kidogo chetu
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 1,432
- 992
umsema sawa isipokuwa hapo kwenye bold tu ndio umechemka. after all asingefanya makubwa sana hata kama angetaka kuwaangammiza kabisa kina lowasa. kumbuka uspika wake kaupata kwa kadi ya ccm, wakichukua kadi yao, angelegea kama jibwa chakavu lisilo na meno. huyu mzee alitakiwa kupumzika. siasa za bongo haziwezi. we rejea historia yake anakosana na kila rais, nyerere alikosana naye akamweka bench, mwinyi alimjaribu alipomuona mzigo akamweka pembeni, mkappa ndo kaabisa alimwogopa kama ukoma, kikwete kalogwa akkamwingiza kwenye mtandao wakampa uspika, cheki alivyochemka, kazidiwa hata na mwanamke makinda! 6 ni mchemfu daima , amezeeka sasa akapumzike alee wajukuu. mwambie achukue na mkewe aende naye. period!
Hakika umenena BRAVO