kashwagala
Senior Member
- Mar 10, 2010
- 116
- 17
Njaa mbaya jamani......Leo nilifuatilia kwa umakini sana gazeti la mtanzania,nilichogundua ni kuwa kwenye picha za mabango...inaonekana mabango yote yaliandikwa na mtu mmoja maana mwandiko kwenye mabango yote ni ule ule.Hii ya kulia,kuzilai na mabango ilikuwa planned kwani hata hao waliaji walikuwa wakiona kamera ndo wanajifanya wako busy na vitambaa vya kufutia machozi...shame on them.