Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,410
- 14,157
Hongera kwa (kujiuzulu) RA kwani "kwa maelezo yako ya kujiuzulu "ni km umepata ubingwa katika kombe ulilokuwa unashindania!Lakini si haki ukiondoka bila ADHABU kwa kutukana watanzania wote,ambao ni wanasiasa na wasio wanasiasa!Umewatukana wanasiasa hasa viongozi CCM kwa kuwaita WAPOTOSHAJI na umeenda mbali zaidi ya ndani ya chama chako kwa kusema siasa zetu ni siasa UCHWARA. Hii imeenda nje hata ya mipaka ya chama chako na kwa hili umevuka mipaka ambayo mtanzania wa kweli hawezi kuthubutu,na hili ndilo linalonifanya niseme 'IT IS UNFAIR FOR U TO GO UNPUNISHED'. Yaani sie watanzania tumekutuhumu kwa kutuingizia hasara taifa letu na kwa kuwa tumekutuhumu unaishiwa kutuporomoshea matusi na 'eti' kuachia nyadhifa zako za uongozi kwa mbwembwe na maneno ya kejeli.Nadhani watanzania hasa viongozi wakuu wa nchi lazime wafikie hatua wafanye maamuzi ambayo yatawafanya matajiri wanaoiibia nchi nao waogope mamlaka zilizoko.Baba wa Taifa mwl Julius Nyerere angekuwepo leo hii ktk enzi hz za Kikwete nina uhakika RA asingefungua mdomo wake kwa mbwembwe km alivyofanya.Sime hivi nikiwa na maana kuwa kwa sasa anaruhusiwa kufanya alivyofanya,ila nasema hivi nikiamini Viongozi wakuu wa nchi hawatamuacha aondoke hivi hivi!Vinginevyo nitaamini kuwa kiongozi pekee mpaka leo hii aliyeiheshimu Tanzania na watanzania kwa kiwango cha juu ni Mwl Nyerere.
Asante kwa info lakini hapo kwenye Blue ni kujihudhuru