Ilo swali we mwenyewe umelielewa?Wakuu hivi kozi ya Clinical Medicine topic zanazohusika physics ipo?
Pamoja mkuu usiwazeKazana mkuu kama unasuasua kwenye physics na unataka kusoma udaktari
aanh nmeuliza kama lazma uapply physics katk clinical officerUnaelewa maana ya physics is the most fundamental science? Yaani ili biology na chemistry zieleweke vizuri lazima abc za physics ziwepo kichwani! Mfano ukitaka kuelewa jinsi ATP inatoa energy hapo ni physics. Jinsi photosynthesis inatokea hapo ni physics tupu ....jinsi sikio linasikia bila kujua waves hutoboi
Kwa nini tunaona na rangi tofauti tofauti yote hiyo ni physics...,.Sasa utasomaje clinical medicine na huna abc za physics kichwani?
nmetak kujua kama inatumika kama kweny engineeringPhysics ipo ndo mana wanaosoma MD wanachukua PCB kuna mavifaa huko kusoma lazima uwe na physics kichwan ka n ivo hata HKL wangeenda tu
Ss watasomaje kama engeener we umemaliza kidato cha ngapi kwanza nisije kuwa naumiza bichwa langu tunmetak kujua kama inatumika kama kweny engineering
Una ndonga ngumu!!! Nimekuonyesha hapo ...ili uielewe hiyo biology vizuri lazima ujue basic concepts za physicsaanh nmeuliza kama lazma uapply physics katk clinical officer