Kalamzuvendi
JF-Expert Member
- Sep 21, 2009
- 639
- 733
Duh! Ukame wa fikra!!! Bado tuna safari ndefu!
Ndefu sana mkuu, ndefu mno. Tanzania matatizo mengi ya kijamii tunayafagilia wenyewe, na baya zaidi wanaopewa dhamana ya kutuongoza washatujua kuwa "chochote wakifanya kwetu tunachukulia poa tu". Kwa wenzetu hilo jibu la Kova yeye angeanza Kung'oka halafu anafuatia huyo mzee kuchunguzwa, na ndio ingekuwa mwisho wa siasa ktk maisha yake. Lkn cc Ahhh! POA TU!. Kazi ipo.