Mkuu rombo
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 1,556
- 422
wakuu nimefatilia tarifa za habari za stesheni mbalimbali kuna habari moja imeonesha jinsi kamanda kova na jeshi la polisi lilivyo2mia akili za kiitelejensia na kufanikiwa kuwakamata wakenya 3 wakisafirisha pembe za tembo kwenye jeneza lililofunikwa kwa bendera ya taifa kuelekea tarekea,
swali langu lilikuwa ni hivi
kwakuwa dar hakuna tembo izo pembe zimefikaje dar??
Anazungumziaje makontena 2 yalio kamatwa huko india
kama anajukumu la kulinda rahia na mali zake anazungumziaje usafirishaji wa mali ya watanzania wakiwemo twiga?
My fact apigane na walifu papa muda wate kuliko kupoteza muda na visangara wezi wa simu
swali langu lilikuwa ni hivi
kwakuwa dar hakuna tembo izo pembe zimefikaje dar??
Anazungumziaje makontena 2 yalio kamatwa huko india
kama anajukumu la kulinda rahia na mali zake anazungumziaje usafirishaji wa mali ya watanzania wakiwemo twiga?
My fact apigane na walifu papa muda wate kuliko kupoteza muda na visangara wezi wa simu