Kosa hili ni kubwa sana, rais Magufuli kafanya

Watanzania ni watu wa ajabu Sana, wakati nyara za taifa zinaporwa nchi ilikua salama, wakati, kodi za wananchi zikilipwa mishahara hewa nchi ilikua salama, wakati watoto wa maskini wengi walishindwa kupata elimu Kwa kua walishindwa kumudu Karo na michango, nchi ilikua salama, wakati serikali ilpolaumiwa Kwa kua na shirika la ndege lisilo na ndege nchi ilikua salama, wakati wakulima wakikomolewa na kodi nyingi katika mazao yao nchi ilikua salama ,wakati ujambazi nchini na biashara ya madawa ya kulevya ilishamiri nchi ilikua salama, wakati nidhamu ya watumishi wa sekta ya umma ilikua poor, nchi ilikua salama, wakati misamaha ya kodi ilikithiri nchi ilikua salama, wakati madini yalipokua yanatoroshwa Nje ya nchi, nchi ilikua salama ,ccm ilipopuuza madai ya wapinzani nchi ilikua salama, wakati bajeti ya huduma za afya ilikua chini, Nchi ilikua salama, wakati uvuvi haramu ulishamiri nchi ilikua salama, wakati migogoro ya ardhi baina ya wakulima na wafugaji ilishamiri nchi ilikua salama,

Rais Magufuli umefanyia kazi changamoto hizi Kwa muda mfupi, kwa weledi wa hali ya juu, ukishirikiana na wasaidizi wako makini, , nchi si salama ,miradi mikubwa ya miundo mbinu imeanzishwa na inatekelezwa nchi sio salama. Lipi jema Kwa wanadamu?, usinge fanya kazi wangesema unaona ccm ni walewale

Ama kweli, duniani tenda wema wende zako , usingoje shukrani .

Mkuu rais, kuna kundi la watu wachache, wana nafasi nzuri kiuchumi ,tena baadhi si fedha halali walilipora taifa , waliamini nchi ni mali yao binafsi, walifanya watakavyo kulihujumu taifa, umegusa maslahi yao, wanatumia kila njia kuhakikisha unakwama, wananunua watu,na magazetini ya ndani na nje kuhakikisha nchi haisongi mbele, ili wapigiwe magoti.

Mkuu rais, songa mbele, ukisita tu,mahasimu watachukua point, usisite wananchi wengi wamekuelewa, wanaimani kubwa kwako, usituangushe,

Hizi kelele nyingi ni za wafa maji, waliozoea kitonga, ninyooshee mkuu!
Kiukweli inasikitisha unapoandika li thread lirefuuuuu kumbe umejaza utaahira wako,ukiuizwa sasa hapo kipi bora km mtanzania nchi kuwa salama au kutokuwa salama?nyuma kulikuwa na matatizo kibao NCHI ILIKUWA SALAMA ila sasa hv Matatizo yanatatuliwa NCHI SIO SALAMA.
KWETU WATANZANIA USALAMA WA NCHI YETU NDICHO KIPAUMBELE so km nchi yetu sio salama elewa tu hayo yote hayana maana kwetu.Afterall elewa kuwa kuna watu wamesababishiwa maumivu yasiyofutika kamwe mioyoni mwao.Walobomolewa Nyumba zao ubungo kimara, wakati mwanza wanaambiwa wasibomolewe kwa kuwa hawakumchagua ili awaumize na mengine lundo ya moyoni,kamwe usalama utakuwa ndoto.
Ila mkumbuke tu nyie wana Lumumba kuwa Nguruwe aliyezaa usipomlisha vizuri basi hula alivyovizaa kimoja baada ya kingine so ukimaliza wapinzani subirieni na nyie atawageukia tu.Laana zote mbaya ziwe juu yenu na mlipwe hapahapa duniani.
 
Watanzania ni watu wa ajabu Sana, wakati nyara za taifa zinaporwa nchi ilikua salama, wakati, kodi za wananchi zikilipwa mishahara hewa nchi ilikua salama, wakati watoto wa maskini wengi walishindwa kupata elimu Kwa kua walishindwa kumudu Karo na michango, nchi ilikua salama, wakati serikali ilpolaumiwa Kwa kua na shirika la ndege lisilo na ndege nchi ilikua salama, wakati wakulima wakikomolewa na kodi nyingi katika mazao yao nchi ilikua salama ,wakati ujambazi nchini na biashara ya madawa ya kulevya ilishamiri nchi ilikua salama, wakati nidhamu ya watumishi wa sekta ya umma ilikua poor, nchi ilikua salama, wakati misamaha ya kodi ilikithiri nchi ilikua salama, wakati madini yalipokua yanatoroshwa Nje ya nchi, nchi ilikua salama ,ccm ilipopuuza madai ya wapinzani nchi ilikua salama, wakati bajeti ya huduma za afya ilikua chini, Nchi ilikua salama, wakati uvuvi haramu ulishamiri nchi ilikua salama, wakati migogoro ya ardhi baina ya wakulima na wafugaji ilishamiri nchi ilikua salama,

Rais Magufuli umefanyia kazi changamoto hizi Kwa muda mfupi, kwa weledi wa hali ya juu, ukishirikiana na wasaidizi wako makini, , nchi si salama ,miradi mikubwa ya miundo mbinu imeanzishwa na inatekelezwa nchi sio salama. Lipi jema Kwa wanadamu?, usinge fanya kazi wangesema unaona ccm ni walewale

Ama kweli, duniani tenda wema wende zako , usingoje shukrani .

Mkuu rais, kuna kundi la watu wachache, wana nafasi nzuri kiuchumi ,tena baadhi si fedha halali walilipora taifa , waliamini nchi ni mali yao binafsi, walifanya watakavyo kulihujumu taifa, umegusa maslahi yao, wanatumia kila njia kuhakikisha unakwama, wananunua watu,na magazetini ya ndani na nje kuhakikisha nchi haisongi mbele, ili wapigiwe magoti.

Mkuu rais, songa mbele, ukisita tu,mahasimu watachukua point, usisite wananchi wengi wamekuelewa, wanaimani kubwa kwako, usituangushe,

Hizi kelele nyingi ni za wafa maji, waliozoea kitonga, ninyooshee mkuu!
Dictator
 
Watanzania ni watu wa ajabu Sana, wakati nyara za taifa zinaporwa nchi ilikua salama, wakati, kodi za wananchi zikilipwa mishahara hewa nchi ilikua salama, wakati watoto wa maskini wengi walishindwa kupata elimu Kwa kua walishindwa kumudu Karo na michango, nchi ilikua salama, wakati serikali ilpolaumiwa Kwa kua na shirika la ndege lisilo na ndege nchi ilikua salama, wakati wakulima wakikomolewa na kodi nyingi katika mazao yao nchi ilikua salama ,wakati ujambazi nchini na biashara ya madawa ya kulevya ilishamiri nchi ilikua salama, wakati nidhamu ya watumishi wa sekta ya umma ilikua poor, nchi ilikua salama, wakati misamaha ya kodi ilikithiri nchi ilikua salama, wakati madini yalipokua yanatoroshwa Nje ya nchi, nchi ilikua salama ,ccm ilipopuuza madai ya wapinzani nchi ilikua salama, wakati bajeti ya huduma za afya ilikua chini, Nchi ilikua salama, wakati uvuvi haramu ulishamiri nchi ilikua salama, wakati migogoro ya ardhi baina ya wakulima na wafugaji ilishamiri nchi ilikua salama,

Rais Magufuli umefanyia kazi changamoto hizi Kwa muda mfupi, kwa weledi wa hali ya juu, ukishirikiana na wasaidizi wako makini, , nchi si salama ,miradi mikubwa ya miundo mbinu imeanzishwa na inatekelezwa nchi sio salama. Lipi jema Kwa wanadamu?, usinge fanya kazi wangesema unaona ccm ni walewale

Ama kweli, duniani tenda wema wende zako , usingoje shukrani .

Mkuu rais, kuna kundi la watu wachache, wana nafasi nzuri kiuchumi ,tena baadhi si fedha halali walilipora taifa , waliamini nchi ni mali yao binafsi, walifanya watakavyo kulihujumu taifa, umegusa maslahi yao, wanatumia kila njia kuhakikisha unakwama, wananunua watu,na magazetini ya ndani na nje kuhakikisha nchi haisongi mbele, ili wapigiwe magoti.

Mkuu rais, songa mbele, ukisita tu,mahasimu watachukua point, usisite wananchi wengi wamekuelewa, wanaimani kubwa kwako, usituangushe,

Hizi kelele nyingi ni za wafa maji, waliozoea kitonga, ninyooshee mkuu!
Hili ni mojawapo ya andiko bora kabisa LA mwaka huu 2018. Huyu ndio tunamuita a great thinker. Safi sana mwanazuoni Kwani kuliona hili Na hakika Ndugu Rais anafahamu hata yote. Viva Magu, Viva Tanzania. CCM Hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeerreerrrrr
 
Badilisha kichwa cha Habari mkuu, Natamani uniambie usalama uko wapi kama Ben saanane hajapatikana hadi Leo, waliomshambulia lisu hawajulikana hadi Leo, waliomuua mawazo wako wapi?, risasi iliyouwa akwilina ilitoka wapi, wanaookotwa ufukweni wanauawa na nani, bombadye alishikiliwa kwa nn? 1.5 trillion imetumikaje?...........yapo meeeengi kama haya ndiyo yanasababisha watu waseme HAWAPO SALAMA!
NILITARAJIA UNGEKUJA NA MAJIBU YA HAYA ILI KUONYESHA USALAMA ULIVYO

pia naomba uniambie hadi ashambuliwe nani ndipo nchi kwako haiko salama?
Umeelewa hoja lakini au unarukia rukia tu kama ilivyo tabia yenu?
 
WASICHEKEWE WAUAWE NA KUULIWA, KUNA SIKU ATAJIBU ANGALAU DUNIA SASA INAJUA KUWAKUNA KILLINGS HAPA.....
Propaganda zilianza karne nyingi zilizopita, jitahidini labda mtafanikiwa, ila sidhani
 
Safi sana mleta mada. Hata hivyo kicha cha habari kinamushkeli kidogo kulingana na mada yenyewe.

Tatizo wabongo hawawezi kutumia fikra zao kwa maslahi ya taifa lao. wanaamini kuwa kwao kambi ya upinzani wakati wa uchaguzi basi watabaki wapinzani daima, tena kwa kupinga kila kitu. Kwa maana nyingine ni kuwa kuna wapuuzi wasioitakia mema tanzania. kwao maendeleo ya taifa ni tusi. Hawana hata chembe ya uzaelendo.
Mbaya zaidi ni ulimbukeni wa baadhi ya wabongo. wanashabikia tu hata kitu kisicho cha kushabikia. Amini nakuambia, hata leo raisi aseme kila mtanzania apewe gari yake ya kutembelea watapinga tu, tena pasipo sababu ya msingi. Angalia hii mada, waswahili badala ya kumjibu mleta mada kulingana na habari aliyoleta waatukama matusi. Sijui lini tutafika

Ukiambiwa njia ya kufika wanaijua ACT au CUF utakuwa tayari kwenda ?
 
Kenge wewe... we huo ukada wako ndo unaozidi kutufanya tuendelee kuibiwa mabilioni ya fedha..mxiuuuuuu
 
Safi sana mleta mada. Hata hivyo kicha cha habari kinamushkeli kidogo kulingana na mada yenyewe.

Tatizo wabongo hawawezi kutumia fikra zao kwa maslahi ya taifa lao. wanaamini kuwa kwao kambi ya upinzani wakati wa uchaguzi basi watabaki wapinzani daima, tena kwa kupinga kila kitu. Kwa maana nyingine ni kuwa kuna wapuuzi wasioitakia mema tanzania. kwao maendeleo ya taifa ni tusi. Hawana hata chembe ya uzaelendo.
Mbaya zaidi ni ulimbukeni wa baadhi ya wabongo. wanashabikia tu hata kitu kisicho cha kushabikia. Amini nakuambia, hata leo raisi aseme kila mtanzania apewe gari yake ya kutembelea watapinga tu, tena pasipo sababu ya msingi. Angalia hii mada, waswahili badala ya kumjibu mleta mada kulingana na habari aliyoleta waatukama matusi. Sijui lini tutafika
Nimetafakari sana ulichokiandika ila nimeshindwa kuelewa umetumia kiungo gani kufikiri kabla ya kuyaandika hayo uliyoyaandika
 
Back
Top Bottom