he bujibuji ni marehemu?Kwa kila post anayojibu au kuanzisha huwa imekaa kikomedi komedi na utaishia kukenua magego. Hivi ana undugu na 'marehemu' Bujibuji huyu?
he bujibuji ni marehemu?
Kongoshoo ninakufahamu niruhusu niwatajie walau jinsi yako ,
Kongoshoo ninakufahamu niruhusu niwatajie walau jinsi yako na kazi yako,
kweli apa uwa nashdwa kutambua kunamda anajibu kama he na mwingne kama she.flip flop
asante angel
ha ha, ukinigawia suti
nakuambia
afu wewe
ntakubonda za uso
unaona sasa unataka suti badala ya blouz na kipedo.
Mah!! Imeshindikana,ila nilitaka nimwage hapa mambo,
he bujibuji ni marehemu?