kongosho kongosho kongosho................

Wow Kongosho Happy birthday my dear

Yaani nakutakia kila la heri ktk siku hii yako

naomba umkumbushe The Boss asome signature yake

Huwa anajisahau sana
 
Last edited by a moderator:
Mbwa wako asipobweka bweka mwenyewe, hujui hilo?
Ikishindikana kubweka wika hata kama mtetea lol

Embe zitakudidea bibie, ushangingi suna

Lazima niogope,mauno yanayonadiwa hadharani hayo si mchezo!! Oooh......"siri ya mtungi aijuae kata" nani kasema biashara matangazo bwana..lol
 
Ha ha haha. signature namwachia mwenyewe
Ukimchunguza kuku humli
Huko MMU leo kuna mtu kamfuma mkwewe live sasa ana kiwewe
asingeuliza uliza aaah angejilia vyake kiulaini.

Asante Kaizer, yaani kope zina mvi sasa.

Wow Kongosho Happy birthday my dear

Yaani nakutakia kila la heri ktk siku hii yako

naomba umkumbushe The Boss asome signature yake

Huwa anajisahau sana
 
Ha ha haha. signature namwachia mwenyewe
Ukimchunguza kuku humli
Huko MMU leo kuna mtu kamfuma mkwewe live sasa ana kiwewe
asingeuliza uliza aaah angejilia vyake kiulaini.

Asante Kaizer, yaani kope zina mvi sasa.

YAaani nimeona...balaa tupu...hawa 'vijana wa siku hizi'
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom