Kongamano la Wanataaluma Dar Limeiva! Dec

Jul 14, 2008
1,820
1,031
Tanzania Professionals Network (TPN)

Nyumbani Ni Nyumbani 2009

Kongamano la Wanataaluma Waishio Ndani na Nje ya Nchi


Siku na Muda:
Ijumaa; 18th December 2009;Saa 2.00 Asubuhi -11.00 Jioni


Mahali:
Golden Tulip Hotel; Masaki, DSM

Washiriki:
Wanataaluma na Wasomi Wote Mnaombwa Kufika Bila Kukosa


Ada ya Ushiriki:
TZS 50,000

Mada:

Namna Wanataaluma Wanavyoweza Kuchochea Maendeleo

Kujiandikisha na Maelezo Zaidi:

0715 740 047




Waandaaji:

TPN – Costech – OUT – UDSM - Serikali

--------------------------------------------------

Tafadhali sana angalia post za nyuma kwa ufafanuzi wa ziada hapa:


Na hapa:

 
Ndugu Simbe usiwe mvivu hizo link ulizoweka hapo chini kisheria sio mali ya TPN hata kama wewe ulitoa ufafanuzi huo , unatakiwa kuandaa ufafanuzi mzuri weka katika tovuti yako na maelezo ya ziada - - -

he
 
Tanzania Professionals Network (TPN)


Nyumbani Ni Nyumbani 2009

Kongamano la Wanataaluma Waishio Ndani na Nje ya Nchi


Siku na Muda:
Ijumaa; 18th December 2009;Saa 2.00 Asubuhi -11.00 Jioni


Mahali:
Golden Tulip Hotel; Masaki, DSM

Washiriki:
Wanataaluma na Wasomi Wote Mnaombwa Kufika Bila Kukosa


Ada ya Ushiriki:
TZS 50,000

Mada:

Namna Wanataaluma Wanavyoweza Kuchochea Maendeleo

Kujiandikisha na Maelezo Zaidi:

0715 740 047




Waandaaji:

TPN – Costech – OUT – UDSM - Serikali

--------------------------------------------------

Tafadhali sana angalia post za nyuma kwa ufafanuzi wa ziada hapa:


Na hapa:



Mtsimbe hili lina tofauti gani na lile la Ubungo plaza?au lile ndo ushaliua tayari? hope ni tarehe hizo hizo au?
 
Ndugu Simbe usiwe mvivu hizo link ulizoweka hapo chini kisheria sio mali ya TPN hata kama wewe ulitoa ufafanuzi huo , unatakiwa kuandaa ufafanuzi mzuri weka katika tovuti yako na maelezo ya ziada - - -

he

Hello Mzalendo Shy; kama ukisoma vizuri tangazo kuna kisehemu hiki:

Kujiandikisha na Maelezo Zaidi:


0715 740 047




 
Mtsimbe hili lina tofauti gani na lile la Ubungo plaza?au lile ndo ushaliua tayari? hope ni tarehe hizo hizo au?


Mzalendo RealTZ;

Lile lilikuwa ni Second Announcement. Hili la sasa ni Final.

Kumekuwa na mabadiliko ya Venue. Sasa ni Golden Tulip badala ya Ubungo Plaza. Pia itakuwa ni kwa siku moja badala ya siku tatu.
 
Mzalendo RealTZ;

Lile lilikuwa ni Second Announcement. Hili la sasa ni Final.

Kumekuwa na mabadiliko ya Venue. Sasa ni Golden Tulip badala ya Ubungo Plaza. Pia itakuwa ni kwa siku moja badala ya siku tatu.

so there will be money return kwa waliolipa full 150,000?
 
so there will be money return kwa waliolipa full 150,000?


Ndiyo Mzalendo.

Kama ulilipa TZS 150,000, utapata refund ya TZS 100,000. Alternatively unaweza kuhamisha balance yako katika malipo ya Ada za uanachama. Hata hivyo hiyo ni hiari yako.
 
Mzalendo;

Ili kumudu gharama za msingi imebidi tupunguze siku na pia tutafocus kwenye mambo muhimu sana na ya kimsingi tu.

u r right ukizingatia wengi ni watu wa kujiiba makazini, 4days bila mwajiri kuiona return yake ipo kazi hapo!
 
Tanzania Professionals Network (TPN)





Nyumbani Ni Nyumbani 2009





Kongamano la Wanataaluma Waishio Ndani na Nje ya Nchi






Mada: Namna Wanataaluma Wanavyoweza Kuchochea Maendeleo





1.Namna gani Wataalamu Wanavyoweza Kusaidia Kuweka Vipaumbele vya Kitaifa katika Kujenga Uchumi Imara





2.Ni Vipi Wanataaluma Wanaweza Kusaidia Watanzania wa Kawaida Waweze Kushiriki Katika Ujenzi wa Uchumi wa Taifa na Kuboresha Maisha Yao





3.Jinsi Wanataaluma Wanavyoweza Kukabiliana na Changamoto katika Kuleta Maendeleo ya Kiuchumi, Kisiasa, Kielimu, Kijamii, nk.





4.Namna Gani Wanataaluma Waliopo Nje ya Nchi Wanaweza Kushiriki Kuleta Maendeleo Nchini





5.Wanataaluma na Dira ya Maendeleo ya Taifa Letu: Tukotoka; Tulipo, Tunakokwenda: Changamoto na Ufumbuzi Wake





6.Je, Ni Wakati Gani Mwafaka Wanataaluma Walazimike Kuchukuka Hatua Za Kuleta Mabadiliko Na kwa Namna Gani?





7.Ni Mikakati Gani Watumie Wanataaluma Kupeana Habari na Taarifa Za Uhakika na kwa Muda Muafaka/





Siku na Muda:


Ijumaa; 18th December 2009; Saa 2.00 Asubuhi -11.00 Jioni





Mahali:


Golden Tulip Toure Drive, Msasani Peninsula






Washiriki:


Wanataaluma na Wasomi Wote Wazalendo Mnaombwa Kufika Bila Kukosa





Ada ya Ushiriki:


TZS 50,000 (Kwa ajili ya Ukumbi; Chakula; Tea na Snacks, PA, Documents nk)





Angalizo:


Viongozi wa Vyama Vya Kitaaluma na Wanataaluma Wanaharakati wa Maendeleo Walioko Mikoani Wamewekewa Nafasi Zao na Watalipiwa Ada ya Ushiriki; Tuwasiliane. Huu si wakati wa Kulaumu. Kama Umeguswa naMada, usikose kuja Kutoa Mawazo yako.





Kujiandikisha na Maelezo Zaidi:



0715 740 047 ; president@tpn.co.tz; www.tpntz.org





Waandaaji: TPN – Costech - TSN– OUT – UDSM - Serikali
 
Tanzania Professionals Network (TPN)





Nyumbani Ni Nyumbani 2009





Kongamano la Wanataaluma Waishio Ndani na Nje ya Nchi






Mada: Namna Wanataaluma Wanavyoweza Kuchochea Maendeleo





1.Namna gani Wataalamu Wanavyoweza Kusaidia Kuweka Vipaumbele vya Kitaifa katika Kujenga Uchumi Imara





2.Ni Vipi Wanataaluma Wanaweza Kusaidia Watanzania wa Kawaida Waweze Kushiriki Katika Ujenzi wa Uchumi wa Taifa na Kuboresha Maisha Yao





3.Jinsi Wanataaluma Wanavyoweza Kukabiliana na Changamoto katika Kuleta Maendeleo ya Kiuchumi, Kisiasa, Kielimu, Kijamii, nk.





4.Namna Gani Wanataaluma Waliopo Nje ya Nchi Wanaweza Kushiriki Kuleta Maendeleo Nchini





5.Wanataaluma na Dira ya Maendeleo ya Taifa Letu: Tukotoka; Tulipo, Tunakokwenda: Changamoto na Ufumbuzi Wake





6.Je, Ni Wakati Gani Mwafaka Wanataaluma Walazimike Kuchukuka Hatua Za Kuleta Mabadiliko Na kwa Namna Gani?





7.Ni Mikakati Gani Watumie Wanataaluma Kupeana Habari na Taarifa Za Uhakika na kwa Muda Muafaka/





Siku na Muda:


Ijumaa; 18th December 2009; Saa 2.00 Asubuhi -11.00 Jioni





Mahali:


Golden Tulip Toure Drive, Msasani Peninsula






Washiriki:


Wanataaluma na Wasomi Wote Wazalendo Mnaombwa Kufika Bila Kukosa





Ada ya Ushiriki:


TZS 50,000 (Kwa ajili ya Ukumbi; Chakula; Tea na Snacks, PA, Documents nk)





Angalizo:


Viongozi wa Vyama Vya Kitaaluma na Wanataaluma Wanaharakati wa Maendeleo Walioko Mikoani Wamewekewa Nafasi Zao na Watalipiwa Ada ya Ushiriki; Tuwasiliane. Huu si wakati wa Kulaumu. Kama Umeguswa naMada, usikose kuja Kutoa Mawazo yako.





Kujiandikisha na Maelezo Zaidi:



0715 740 047 ; president@tpn.co.tz; www.tpntz.org





Waandaaji: TPN – Costech - TSN– OUT – UDSM - Serikali
 
Nadhani nitaweza kutuma ujumbe kwa kongamano hili.

Mzalendo Mwanakijiji;

Asante sana; tutashukuru sana kama tutapata ujumbe wako mapema kama moja wa Wanataaluma Waishio Nje ya Nchi. Kuna wengine wachache wameshatuma ujumbe wao na wengine pia wanakaribishwa kufanya hivyo.

Waslaam

Mz. SM
 
Back
Top Bottom