Kongamano la Pili la Katiba: Jumamosi, 02 Aprili 2011

asilimia kubwa ya wachungaji leo sio watumishi katika shamba la Bwana. wametekwa na dunia na wamekua kama dunia. siku hizi hakuna tofauti kati ka maisha ya mchungaji na kondo wake.
 
Nimeusikiliza Mjadala japo kwa umbali ila nilichoona ni usanii mtupu wa serikali ya CCM na mafisadi wake. vipengele vingi vya rasimu inayotaka kupelekwa bungeni vinatia kichefuchefu. ila viwili kwangu vitanifanya nitapike kabisa
1. Atakayehoji tume ya katiba au kuanzisha mjadala atafungawa miaka miwili jela na hakuna faini
2. Wasimamizi wa shuluguli za utoaji maoni ni wakuu wa mikoa wakuu wa wilaya na maofisa watendaji wa kata na vijiji.

Kwa haya tu hapa kuna katiba mpya au ndo kuwakaanga waTZ kwa mafuta yao wenyewe? hii si kuwa CCM wanataka kutuletea kituko kingine tuanze kujuta na kusema bora hata katiba ya zamani?

Hivi hapa kuna uwazi, uhuru na demokrasia ya ukweli??

Hawa wamefanya haya wakijua Anna Makinda na wenzake wa CCM walio bungeni wataipitisha kwa maslahi yao binafsi. Na kwa vitisho hivi hakuna maslahi ya taifa wala uhuru wa kutoa maoni kamwe haupo.
 
wachungaji hawasomi biblia wako kifedha zaidi, pumbafu yake

Sio wote wako kifedha, there are many honest and humble pastors...but watu kama hao si wachungaji ili wamejipachika "wachungaji" kwa ajili ya tumbo....wana wa Beliali hao na hakuna shaka kuhusu chama chake...it is obvious
 
Man wachungaji siku hz wanasoma mistari ile inayofanya waumini wawe na hofu,ili wawakamue vizuri mapene!si unajua mtu akiwa na hofu anafanya chochote!cku hizi ukienda makanisani kuna mistari inarudiwa kila jumapili,yote ni mistari ya sadaka na fungu la kumi!!!they wanaboa
 
Si lazima kila mchungaji awe mpinzani wa CCM, Dini ni Imani siasa ni itikadi na ni maamuzi binafsi, tatizo kubwa watoaji mada ndani ya forum hii wamekosa upeo wa kutofautisha dini na siasa, ni vyema mngeanzisha vyama vya siasa vyenye mitazamo ya kidini labda mtafanikiwa kwenye hizo agenda zenu za siri, soma habari hapo chini
support Cleric rallies for President Kikwete
By Devota Mwachang`a
31st March 2011
Gospel Revival Centre pastor Anthony Lusekelo has called on Tanzanians to stop blaming President Jakaya Kikwete for problems facing the country, and instead support him in ruling the nation better.
The cleric, whose main chapel is based at Ubungo Kibangu in Dar es Salaam, made the call in the city on Tuesday at a press conference he convened to give his views on the current state of the country's peace and unity.
He said Tanzanians, including religious and political leaders, should respect the head of state, advising them to stop blaming him for any shortcomings because they were part of it and some problems resulted from natural factors.
The clergyman said people had been blaming Kikwete for everything going wrong like high prices for oil and food, forgetting other good things he has done for the nation and its people.
"There are some people, who stand publicly pointing an accusing finger at President Kikwete for the problems facing the country. This behaviour is not good before the eyes of God," Lusekelo said.
He said some people believed that if they use abusive language and speak bad things to the head of state they would portray their citizenship and win accolades from the public, as brave ones. However, he said that's not a good manner.
"Where such behaviour of blaming our leaders has come from? When will it end…this country is like a car and Kikwete is the driver. So, the action of speaking bad things upon him could confuse causing him to lead it into a pit," the pastor argued.
Lusekelo called on people to build a culture of appreciating their leaders while still alive, instead of praising them after their death. "Praising deceased leaders and ignore them while alive is wrong," noted Luselelo.
The cleric called on critics to give him chance to fulfill all promises he made during last year's election campaigns, including facilitating the process of re-writing the country's constitution and dealing with foreign born problem of high food prices due to unstable oil prices in the international markets.
Meanwhile, Lusekelo has said the National Assembly lacks unity and solidarity, saying that it had turned into a forum for personal attacks, something which he said was degrading its image in the public.
SOURCE: THE GUARDIAN
0 Comments | Be the first to comment
 
Pumba huwa hazi vumiliki hapa mkuu,nakumbuka mwaka 2009 mkandala kuna kitu alikuwa anaongelea akazomewa pale nkurumah, (zilikuwa pumba lakini)

Sorry kwa kutoka nje ya mada, ulimaanisha ile June, 2009, kwenye uzinduzi wa TATAKI? Ni PM kwa majadiliano zaidi...
 
Nimeusikiliza Mjadala japo kwa umbali ila nilichoona ni usanii mtupu wa serikali ya CCM na mafisadi wake. vipengele vingi vya rasimu inayotaka kupelekwa bungeni vinatia kichefuchefu. ila viwili kwangu vitanifanya nitapike kabisa
1. Atakayehoji tume ya katiba au kuanzisha mjadala atafungawa miaka miwili jela na hakuna faini
2. Wasimamizi wa shuluguli za utoaji maoni ni wakuu wa mikoa wakuu wa wilaya na maofisa watendaji wa kata na vijiji.

Kwa haya tu hapa kuna katiba mpya au ndo kuwakaanga waTZ kwa mafuta yao wenyewe? hii si kuwa CCM wanataka kutuletea kituko kingine tuanze kujuta na kusema bora hata katiba ya zamani?

Hivi hapa kuna uwazi, uhuru na demokrasia ya ukweli??

Hawa wamefanya haya wakijua Anna Makinda na wenzake wa CCM walio bungeni wataipitisha kwa maslahi yao binafsi. Na kwa vitisho hivi hakuna maslahi ya taifa wala uhuru wa kutoa maoni kamwe haupo.
ndio maana wachangiaji wengi walipendekeza isipelekwe bungeni kwani itapitishwa na wabunge wengi wa ccm!
 
:love:

We fuatilia style yake ya huduma yake ya Uchungaji.....ukiona ni ya kijanja janja na kitapeli basi utakuwa umeshapata jibu ya kuwa ni wa chama gani
 
Swali langu:
Kwa kusema watanzania waanze kutaaa sasa,na jinsi tulivo ambiwa kuwa ukipinga muswada ni kosa la jinai,hapa marando hana kesi?
Na tukipinga watanzania wote tutapelekwa gereza gani tutoshe kwa pamoja?

bado haujawa sheria kwa hiyo hakuna mtu wa kufungwa. lazima tuupinge huu muswada. wabunge vilaza wa ccm wataupitisha kwa wingi wao
 
Nilishawahi kopost tropic ilikuwa na kicha chahari kuwa kumbe tunaibiwa! Nilisimamia ktk maandiko haya: kumbukumbu la torati 14:22:30. Wachungaji wenyemoyo kama wa huyokibaraka wa ccm wanauogopa hatakuyatazama maandiko hayo achilia mbali kuyasoma!
 
ndio maana wachangiaji wengi walipendekeza isipelekwe bungeni kwani itapitishwa na wabunge wengi wa ccm!
Sasa ipelekwe wapi wandugu, maana haya mambo ni ya kisheria zaidi, sio kama kujadili mambo ya kitchen party!
 
Utafiti wakitaalamu unaonyesha kuwa mchungaji huyo anaitwa alphonce temba ni mhubili ktk kanisa la getrude rwakatare mbunge viti maalumu ccm. Hawa wote ndio walikuwa wanahamasisha wakristo kujiunga na deci na baada ya utapeli huo temba alitorokea zimbabwe. Baada ya kurudi alikuja na maji ambayo alidai amepewa nigeria na kuyauza kwa bei kubwa wakati wa uchaguzi akidai kuwa mgombea atakaye nunua atashinda urais. Baada ya wizi wa kura za urais . Temba na rwkatare ndio waliotangaza kuwa kikwete ni chaguo la mungu.

Kwa sasa mch temba na mch antony lusekelo(mzee wa upako) wamepewa kazi ya kuzuia maandamano ya kuipinga ccm na sasa wapo kazini
 
Mawazo yaliyotolewa na wachangiaji katika kongamano la katiba katika chuo kikuu cha Dar Es salaam yafanyiwe kazi kabla muswada wa katiba haujapelekwa bungeni wiki ijayo. Bila kufanya hivyo muswada huo utapitisha haraka haraka bila kuzingatia mawazo ya wadau na hivyo kufanya mchakato wa kupata katiba mpya uwe wa hovyo na hatimaye kupata katiba ya hovyo!
 
Pumba huwa hazi vumiliki hapa mkuu,nakumbuka mwaka 2009 mkandala kuna kitu alikuwa anaongelea akazomewa pale nkurumah, (zilikuwa pumba lakini)

walikua wanapigiwa makofi, hakuna aliyezomea. Na itifaki imezingatiwa. Makofi tafadhali jamani kwa mchangia hoja.
 
Muundo wa Muungano hautakiwi kuguswa kwenye katiba hii?
Uchaguzi huru?
Uraisi hautakiwi kuguswa pia?

This is crazy,..ni kelele hapa na amestop kwa mda kuongea


NITAKUWA SIJAKOSEA NIKISEMA RASIMU HII IMEANDALIWA NA WAHUNI WALIOKUWA WAMEKAA BAA WANAPATA KINYWAJI.
Ooops!!! Sory!!!! nimeghafilika au???
 
Alphonce temba kajihusisha na utapeli katika nchi za botswana na zimbabwe na sasa anatumiwa na ccm kwa kulaghai katiba mpya.

Aliwahi kufungua kanisa eneo karibu na chuo cha ardhi surveyi lakini alikimbia baada ya kutapeli watu.
Pia mwaka 2007 aliwahi kukamatwa na waumini kanisani kwa mama rwakatare akifanya ngono siku ya ijumaa na mmoja wa bibi arusi mtarajiwa na kusababisha mgongono wa kijamii.


Kimusingi alphonce temba ni tapeli mwenye ngozi ya kondoo.
 
Nimeusikiliza Mjadala japo kwa umbali ila nilichoona ni usanii mtupu wa serikali ya CCM na mafisadi wake. vipengele vingi vya rasimu inayotaka kupelekwa bungeni vinatia kichefuchefu. ila viwili kwangu vitanifanya nitapike kabisa
1. Atakayehoji tume ya katiba au kuanzisha mjadala atafungawa miaka miwili jela na hakuna faini
2. Wasimamizi wa shuluguli za utoaji maoni ni wakuu wa mikoa wakuu wa wilaya na maofisa watendaji wa kata na vijiji.

Kwa haya tu hapa kuna katiba mpya au ndo kuwakaanga waTZ kwa mafuta yao wenyewe? hii si kuwa CCM wanataka kutuletea kituko kingine tuanze kujuta na kusema bora hata katiba ya zamani?

Hivi hapa kuna uwazi, uhuru na demokrasia ya ukweli??

Hawa wamefanya haya wakijua Anna Makinda na wenzake wa CCM walio bungeni wataipitisha kwa maslahi yao binafsi. Na kwa vitisho hivi hakuna maslahi ya taifa wala uhuru wa kutoa maoni kamwe haupo.

Nawanajua kwajinsi system yao inavyoweza kuwalinda basi utashangaa pamoja na elites leo kuonyesha more than 90% wako against utashanga tukipiga kura hoja zao zitapita kwa kishindo teh teh teh! Wana CCM mkikubali huo uzandiki maana yake ni kuwa mmekubali kuwa mateka milele wa kikundi kidogo na kuwauza wenzenu kwa garama ya mlo mmoja kwasababu ya njaa. Kwani huko mliko ni wote mnafaidi equally? Si wengi mmegeuka vijakazi nakuishia kulamba makombo kwenye meza za wafalme ambao kama huu mswaada utapita basi tayari tutakuwa na caste system kama India nyie walamba makombo, sisi walala pu na wafalme ambao wameanza kujenga kingdomship na wameshaji identify kuwa ni households zipi ndizo royal families. Na succession itafuata hiyo lineage yao so huyu aki mpa huyu the next ana pass kwa mwingine. Ilikuwa rahisi zamani mtu uki struggle ukaweza ingia humo ndani lakini haya yanayofanywa ni maandalizi ya kulinda ngome imara zaidi ya hii newly established kingdom amabyo sasa tunaitambua kwa jina la mafisadi.

BUT in the clear note hiyo mipango itaishia kuwa vita ya wenyewe kwa wenyewe ndani ya hiyo kingdom maana hata wao wanajua they can not be all at the same position at one particular time. Penda msipende rabsha itatokea siyo kubwa sana na baada ya hapo ndo tutaweka historia ya kuwa na best democracy. Huu ni utabiri wangu kwa maono ya roho mtakatifu amabye kazi yake ni kuwaanda watu kuona ni jinsi gani wata handle future.
 
Wachungaji waliopewa pesa na ccm ni mzee wa upako, alphonce temba, askofu slyiverster gammanywa wa wapo redio, mch. Rwakatare. Kazi yao ni kuhubiri kwamba kulikuwa na udini wakati wa uchaguzi!!!


Cha kushangaza mwaka 2009 ,mzee wa upako alikamatwa na matili 250 kutoka uk akiingiza na kikwete kodi na alipewa adhabu ya kupigia debe ccm. Mzee wa upako alishatangaza wazi kuwa yeye ni mtu wa kikwete
 
mbona wanataka na sisi tuwe na rangi nyekundu kwenye bendera yetu. Walioandaa katiba hiyo ndo wanastahili miaka 2 jela bila dhamana.
 
LEO KWENYE KONGAMANO LA KATIBA NKURUMAA HALL. MCH ALPHONCE TEMBA MTU WA KARIBU NA MCH GETRUDE RWAKATARE MBUNGE WA CCM AMEWATAKA WANACHUA WANACHUA WASIFANYE MAANDAMANO NA MOGOMO KUPINGA MSWAADA WA KATIBA MPYA ULIO ANDALIWA NA KIKWETE KWENDA BUNGENI.
PIA AMEWATAKA WABUNGE WASIPINGE MSWAADA HUO PINDI UTAKAPO FIKA BUNGENI KWA KUWA KUPINGA MSWAADA HUO SIO MAPENZI YA MUNGU.


KWA UFUPI TEMBA NI CCM NA ALIKUWA MPIGA DEBE WA KIKWETE WAKATI WA UCHAGUZI 2010.
TEMBA NA MAMA RWAKATARE NDIO WALIO HUBILI KUWA KIKWEETE NI CHAGUO LA MUNGU.

TEMBA NA MAMA RWAKATARE NDIO WALIOHUSIKA KUHAMASISHA WATU KUJIUNGA NA DECI KUPITIA PRAISR POWER NA BAADA YA UTAPELI WAKATOWEKA .

TEMBA NA MZEE WA UPAKO WOTE NI CCM NA KAZI YAO NI KUTULIZA MAANDAMANO YA CHADEMA:frown:
 
Back
Top Bottom