Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,783
- 66,962
nilisema hatua hii ya makundi Yanga haitoambulia ushindi wowote watu wakanibishia mpk povu likamwagika.
Mwanaspoti ya keshomapkezi makubwa kuwasubiri yanga
Wanacheza au wanachezewa?wanaume wanapo cheza mnatakiwa mtulie. huna haki ya kuongea chochote
Poleni, ndo mpira huo! Wakati mwingine mambo ya kimataifa/kikubwa waachieni wenyewe, yaani Simba.Tumekubali tumedufuliwa.
#teamyangaforever#
una heshima gani nyumbani?Simba anagombea kombe la Ndodo, Yanga anawagawia wanaume raha...utamu.
Ni heri mjenga heshima nyumbani kuliko anayejiuza ugenini..
Mechi ijayo mtampa na kumpa tena mwarabu.... Khaaaa!!
mkuu, hii ungetupia kwenye special thread ya man u ingekuwa poa sana.
Hii hii heshima ya kucheza na ndugu zetu Ndada na Stand united kuliko kwenda kuwakatikia mauno waarabu na wanaume wengineuna heshima gani nyumbani?
Labda Mtashinda Kwenye Kipindi Cha Michezo Pale Radio One.Muda bado hii game yanga tunashinda, msikate tamaa mapema muda bado jamani.
Mkuu, Taifa Stars na klabu zake bado hazijafikia level hata ya kufuzu Afcon (and its corresponding competitions). Na kama zikiqualify mara nyingi zimekuwa zikitia aibu. Mfano mzuri ni mechi ya leo (timu ya Yanga). Yaani hadi mtu unashindwa kujipa moyo kwamba wamejitahidi..as ilikuwa ni full aibu kama vile Yanga ni timu kutoka Ndondo Cup. WaTZ lazima tubadilike, otherwise tutaendelea kushangilia timu mbovu mpaka mwisho wa dahari. Yatupasa kuemploy BRN kwenye michezo pia, muda wa maneno bila vitendo umeisha. We must say no to politics katika michezo.Mkuu ushawahi kuangalia afcon? Linganisha na euro utaona tofauti.
Pole kwa kufiwa ila hustahili kuhuzunika maana mgonjwa wa kansa huwa haponagi.Nasikitika kutangaza kifo cha ndugu yetu....Yanga Afrika kilichotokea huko Ghana.......
Habari ziwafikie wanaYanga wote.....mazishi yatafanyika nyumbani kwa Marehemu mtaa wa jangwani......
Asanteni kwa kuja.....
Manji anaujua vizuri mpira wa bongo, ni kuifanga tu simba na maisha yanasonga.Kosa wanalofanya yanga manji kajisahau kununua mechi za home tu, za kimataifa anashindwaje kuwanunua hao marefa bwana anakera sana