Kombe La Dunia La Vijana Wazururaji 2010:Tanzania Imo

Junius

JF-Expert Member
Mar 11, 2009
3,181
139
Tanzania ni miongoni mwa mataifa ambayo yatashirikishwa katika mashindano ya soka ya Kombe la Dunia, kwa vijana wanaozurura ovyo mitaani, yatakayofanyika mjini Durban, Afrika Kusini, mwezi Machi mwaka 2010.
Mbali na wenyeji, mataifa mengine yatakayoshiriki ni Brazil, India, Nicaragua, Ufilipino, Ukraine, Uingereza na Vietman.
Jumanne ya tarehe 22 Julai 2009, meneja wa chuo cha michezo cha watoto kutoka Mwanza,Tanzania, Bw Mutani Yangwe, alishiriki katika kikao mjini London kuzungumzia juu ya mashindano hayo ya dunia, na vile vile juu ya mipango ya Arsenal, klabu ya Uingereza, kukisaidia chuo hicho.
SOURCE: BBC SWAHILI SERVICE.
 
Back
Top Bottom