Wandugu. kama vugu vugu la kudai katiba mpya linavyozidi kuchukua kasi mpya kila siku, huku wananchi, taasisi za umma na binafsi, pamoja na wasomi wakizidi kutoa maoni yao(wengi wakitaka katiba mpya) juu ya haja ya kuundwa katiba mpya, mimi binafsi nilisikitishwa sana na mtizamo wa waziri wa katiba (Kombani), na katibu wa CCM (Makamba) walioonesha kutoona haja ya kuwepo katiba mpya.
Hivi katika hali ya kawaidatu, kitu kinachoungwa mkono na wanchi (karibu wote), na pia wasomi na watu wenye influence ktk jamii kinaweza kua potofu kweli?? je hii haitoshi kuthibitisha sana kua kombani hana nia njema na nchi??
Naulizatu nipate kujua zaidi!
Hivi katika hali ya kawaidatu, kitu kinachoungwa mkono na wanchi (karibu wote), na pia wasomi na watu wenye influence ktk jamii kinaweza kua potofu kweli?? je hii haitoshi kuthibitisha sana kua kombani hana nia njema na nchi??
Naulizatu nipate kujua zaidi!