kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,214
Wewe mbona 'unakatwa' siku nyingi tuNimehangaika kusoma thread kumbe source ni jarida la udaku wa kisiasa?
Anyway najisikia fahari kuchangia pato la nchi kwa maendeleo ya nchi yangu
Naomba kukatwa kuanzia mwezi wa kwanza mwaka huu.
Nawasilisha.