Kodi ya Asilimia 10: Kwa kila Tshs 1,000 ya kwenye Miamala, tshs 280 ni za TRA kuanzia Julai mosi

Safi sana hii ndiyo niliyokuwa naiota miaka yote, kila mtu alipe kodi na siyo wachache tu!
Sidhani kama una chanzo chochote cha mapato na kama unacho basi wewe ni kibarua wa kubeba zege, make yeye hana haja ya kuweka pesa benki kwa kuwa anaila yote make kazi yake anaifanya kwa ajili ya mdomo wake.
 
Hii taarifa sidhani kama iko sahihi. Kwenye hotuba ya bajeti ukurasa wa 66 Kitengele cha iv inasema hivi:

"Kutoza ushuru wa bidhaa wa asilimia 10 kwenye ada zinazotozwa na watoa huduma wa simu katika kutuma na kupokea fedha badala ya ushuru huo kutozwa tu kwenye kutuma fedha pekee. Katika utaratibu wa sasa, baadhi ya kampuni zinazotoa huduma zimetumia mwanya kwa kuhamishia sehemu kubwa ya ada hizo kwenye kupokea fedha na hivyo kuwa nje ya wigo wa kodi."

Hicho kinamaanisha hayo uliyosema? Kama kuna sehemu ya hotuba hiyo inayotoa maelezo zaidi ya hayo tushirikishane ili tuwe na uelewa momma.
 
Tatizo lako unaangalia uliposismama tu na hauoni bigger picture, Serikali siyo wajinga wanafahamu wanachokifanya, haya makampuni ya simu yanavuna mabilioni mangapi ktk kwa wananchi bila ya kulipa kodi? Hasa haya mambo ya MPESA? Kwanza nilitegemea kama wewe ni mfanyakazi na unakatwa kodi ufurahie pia na wengine wakikatwa kodi ili mzigo upunguziwe!
Kwani wafanyakazi ambao tayari wamelipa kodi hawatumi hizi huduma?kama ni kweli hii Kodi so sahihi
 
Mkuu fikiria mtu amepata mshahara ambao tayari amekatwa kodi. Bado ukitoa kwenye ATM tena kodi au sijaelewa.
kwani kabla ya hapo ulikuwa hukatwi? umeambiwa ulikuwa unakatwa buku, ila hyo buku yote ilikuwa inaenda bank na serikali ilikuwa haikat chochote katka hyo buku, kwa sasa ndo serkal watakata 280 katka hyo buku. hv mbona mnakuwa wagumu kuelewa nyinyi?.
 
Katika hili Zito Kabwe amejishushia heshima sana nimelazimika kufuatilia hotuba inasemaje alichokisema waziri anapendekeza mabadiliko ya sheria za kidi na sehemu mojawapo ni 10% ya makato wanayotoza watoa huduma kwenye kupokea na kutuma fedha sio makato kwa mteja kwa mfano ukipokea au ukituma 10,000 halafu mtoa huduma (kampuni ya simu/ bank) akikukata 1500 serikali itachukua 10% ya 1500 ambayo ni 150
 
Hapo ndio niloposhindwa kuielewa kabisa hii bajeti ya mwaka huu,lakini wananchi hawafaitilii vitu kabisa kazi yao wao nikuiga wanasiasa wanavyosema .Ila bajeti hii kiukweli inabana sana wananchi ila watu hawajajua hilo ngoja tu itakavyoanza kufanya kazi ndio machungu yake watayaona.
Kwamfano hiyo ndogo ya kuongeza tozo kwenye mifumo ya usafirishaji pesa kwa njia ya simu na kwenye mabenki.Hii imeongezwa sana na sijaelewa kwanini serikali iliona hapo ndio kwenye kupata kodi.Kwani navyojua mimi kodi inatozwa pale unapofaidika na huduma hiyo au unapopata faida na hicho kitu .sasa kwenye utoaji pesa kwenye ATM nimeshimdwa kuelewa mimi nilikua bank wameweka hivyo kwakuwa wanatoa huduma kwenye hizo machine sasa lea serikali kutoza ni kutunyanganya hela yetu na kuwapa wao ,kwani hela ninazochukua kwenye ATM ni hela ambayo nimeiweka kwenye bank baada ya kukatwa kodi kama mshahara au hiyo pesa nitakatwa tena kodi bale napokuwa nakadiliwa baada ya kupata faida mahali.Mimi sijawaelewa kabisa hii serikali wanatukata kodi sijui mala ngapi
 
Dah kama ni ZZK naye kafikia level hii ya kutafsiri masuala ya kiuchumu na kifedha. Kweli Ban imemvuruga, tatizo ZZK hajawahi kuwa mchumi/mtafiti na mchambuzi wa uchumi bali ni mwanasiasa aliyesomea shahada ya uchumi kama JK nk. Kama ni yeye anajiaibisha sana.AMEPOTOSHA UMMA.
Kwanini brother unafikiri kuwa kapotosha, hebu tuwekee ukweli hapa tukuelewe
 
Huu ni uongo mweupe kweupe mchana.
Kodi haitozwi kwenye hela isiyo na faida bali inatozwa ile yenye faida. Kimsingi asilimia zilizotajwa ni tozo upande wa bank ama operator wa simu sio upande wa mteja.
Yani ya kwamba hadi sasa hivi ukitoa hela ATM ama MPESA unatozwa pesa fulani tuuite pesa X, hii pesa X ilikuwa inachukuliwa na bank ama Operator bila kulipiwa kodi hivyo hii pesa X ndo itatozwa kodi. Kwa maana nyingine, MPESA ama ATM walikuwa wanakutoza pesa lakini wao hawalipi serikali. Sasa ni kwamba, wakikutoza pesa inabidi asilimia iliyotajwa bungeni kwa pesa waliyokukata wailipie kodi. Upande wa mtoaji hakuna effect ya wazi maana hadi sasa unatozwa pesa ukifanya transaction.
Wee kama nimekuelewa vile,maana umetoa ufafanuzi unaoeleweka,tofauti na huyo aliyenukuliwa na mleta mada maana alishanichanganya kwani hata katika akili ya kawaida lilikuwa haiingii akilini yaani kwenye shs elfu moja nikatwe zaidi ya asilimia 20% huyu zitto nadhani hii akaunti yake itakua imedukuliwa atakua siyo yeye aliyepost huo upuuzi kama ni yeye kweli kachanganyikiwa,naona magufuli kamchanganya mpaka anaamua kumchonganisha na wananchi kwa njia hii. ,nimeamini huu ufafanuzi wako kuliko wa mbunge zitto.
 
kumbe na wewe ni walewale lumumba kazi yao kubishana na ukweli na baada ya muda mfupi wanakubali walichokuwa wanabisha.

swissme
kumbe na wewe ni walewale lumumba kazi yao kubishana na ukweli na baada ya muda mfupi wanakubali walichokuwa wanabisha.

swissme

wanabisha.

swissme[/QUOTE]

Offcourse nimekubali kwamba siijui hiyo "elimu yako juu"

Kwa hiyo na wewe muda wote huo unani-quote kumbe hunijui?
Maana umeniwakia toka unaanza kuni-quote, kuhusu elimu yangu, kwamba wewe una elimu ya juu, na kuwa unaweza kusoma watu kama sisi kutokana na sijui "mipango chanya"... Kumbe hiyo soma yako yooote ndio umenisoma kwamba mie ndio hao hao wa lumumba??

Unani-accuse kwaba nabishana, naomba nikuulize, toka umeanza kuni-quote, wapi nimebishana na wewe?? Na ni kitu gani nilichokuwa nakubishia?

Naomba kabla hujajibu hayo maswali nenda page 25, ambapo ndio umeanza kuni-quote soma comments zako zote ulizoni-quote na comments zangu zote nilizoku-quote.
 
zito mwongo uyu hii ni tozo ya watoa huduma(bank au mitandao ya simu)
 
Kiongozi, nadhani hili taifa limejaa upumbavu na wapumbavu wengi. Page ya tano hii, hakuna anayehoji ukweli wa hizi taarifa zaidi ya kukurupuka tu. Hivi mtu afanye muamala wa 400,000/ akatwe 120,000/ na watu wanatoa maoni bila hata kuhoji, what a broken nation!!
Mkuu umenena. Watu tunakimbilia kukomenti negativity bila kuutafuta ukweli na kutafakari cha kufanya ikiwemo kujiandaa kisaikolojia na haya mabadiliko ya Julai 1.
 
Mkuu acha mzaha. Kwani kuchukua hela yako toka account yako ni ni mapato yanayostahili kodi? Yaani wewe umelipwa mshahara ambao umekatwa kodi, ukaweka benki, na unapochukua kupitia ATM ukatwe tena kodi? Namuamini sana Magufuli, na siamini Magufuli anaweza kufanya kitu kama hiki. Labda kama ameingiliwa na mabo ya ajabu yanayomchanganya ndio anaweza kuja na jambo kama hili. Na wewe acha ushabiki wa kijinga. Shabikia mazuri, kemea ujinga.
Mkuu huyo ni mkuu wa wapishi wa chai pale lumumba, ila mvumilie maana ikifika 16.6 visimu vyote feki vya mchina havitakuwa hewani hivyo hata hapa jf wainga wengi watapungua sana
 
Dah kama ni ZZK naye kafikia level hii ya kutafsiri masuala ya kiuchumu na kifedha. Kweli Ban imemvuruga, tatizo ZZK hajawahi kuwa mchumi/mtafiti na mchambuzi wa uchumi bali ni mwanasiasa aliyesomea shahada ya uchumi kama JK nk. Kama ni yeye anajiaibisha sana.AMEPOTOSHA UMMA.
Kukata mzizi wa fitina tufahamishe wewe hayo mapato yanakuaje.
 
Ngoja niseme tu ukweli Mimi ni rahisi Wa maskini , ndio maana mafisad yalipoona nimechaguliwa kupeperusha bhendera yakaanza kujiondo. Nitaondoa kodi zinazowakandamiza nyiny watu , ( ghafula sauti zinasikia PUSHAPU TINGATINGA LETU) najua mnataka nipge pushapu nitapigs ila nikiingia ikulu HI HI HI HI HI HI ,MJIANDAE.... najua mlivyoteseka .
Ha ha ha ah
Sasa hivi ndio tunazidi kuteseka mara kumi zaidi ya kabla yake
 
zito mwongo uyu hii ni tozo ya watoa huduma(bank au mitandao ya simu)
Ndugu hakuna cha uongo wala nn hyo ni kweli hata kama serikali itakawana na bank au wamiliki wa makampuni ya sim unafikiri wewe mteja utakuwa salama lazima uongezewe gharama za huduma haiwez bank ikakubali hasara au mitandao ya cm ikubari wewe mteja unufaike wao wadidimia lazima gharama zipande wait and see
 
Back
Top Bottom