Kocha Stuart Baxter niliyemfahamu mwaka 2004 hadi 2005 na 'Mapungufu yake si Kocha sahihi Kuifundisha Simba SC yetu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,651
109,046
Kama kawaida yako Madam Kiherehere na Kukurupuka CEO Barbara Gonzalez na Uongozi wa Simba SC kwa kupenda Kwenu Kukurupuka hasa pale linapokuja Suala la Kuajiri Makocha. Kocha Stuart Baxter ambaye GENTAMYCINE nimehakikishiwa na Vyanzo vyangu aminika kuwa ndiyo Simba SC watampa Kandarasi nilibahatika kumfahamu mwaka 2004 nilipokuwa 'Kitaaluma' katika Chuo Kikuu cha UCT mwaka 2004 hadi 2005.

Katika Kumfahamu Kwangu huko nikiwa jirani kabisa Kimakazi ( katika Viunga vya Jiji la Cape Town ) na alliyekuwa Mchezaji wa Santos FC Mkenya Musa Otieno niliweza kumfuatilia kwa ukaribu hasa alipoteuliwa kuwa Kocha wa Timu ya Taifa ya Afrika Kusini Bafan Bafana.

Kama kuna Kocha ambaye hajawahi kuwa na Mafanikio yanayoakisi uwezo wake na ambaye hajawahi Kuaminika au Kupendwa na Mashabiki wa Soka wa Afrika Kusini ni huyu Kocha Mkuu ajaye wa Simba SC Stuart Baxter.

Nakumbuka miaka hiyo hiyo alipokuwa Kocha wa Bafana Bafana ambayo ilikuwa inafanya vibaya chini yake alishakoswakoswa Kupigwa na Mashabiki wasion na Uvumilivu wa Afrika Kusini ambao wakiwa wameshalewa Vilevi vyao na vimepnda Kichwani Kukupiga au Kukudhuru kwa Silaha kwao huwa ni Kaai rahisi mno.

Sijui ni Kitu gani ambacho Simba SC kupitia CEO Madam Kiherehere na Kukurupuka Barbara Gonzalez wamekiona kwa huyu Kocha Stuart Baxter ambaye hata Kaizer Chiefs FC wenyewe hivi karibuni tu wamesitisha nae Mkataba kutokana na Maatokeo siyo ya Kuridhisha na cha Kushangaza Klabu ya Simba imeamua kula Makapi yaliyoachwa na Kaizer Chiefs FC.

Na kama mnamuajiri huyu Kocha nawaonyeni mapema waambieni mapema sana Wachezaji wenu ( hasa Wazawa ) kuwa huyu Kocha hana Masihara na ni mwenye Hasira na Kumpiga Mchezaji Ngumi za akina Twaha Kiduku na Dulla Mbabe Kwake ni jambo rahisi kama si jepesi hivyo waanze Kujiandaa Kisaikolojia mapema.

Sioni sababu yoyote ya Uongozi wa Simba SC kuhangaika kutafuta Makocha wenye Profile Kubwa na Kumpa Gharama Kubwa wakati hapa hapa katika Ukanda wetu huu tuna Makocha wazuri sana, wasio na gharama kubwa na ambao kama tutawaamini na kuwapa Ushirikiano wanaweza kutufanyia makubwa kuliko hawa Makocha wenu wa 110% mnaowashadadia kila mara.

Kocha Abdallah King Kibaden aliyeipeleka Simba SC Fainali ya CAF kabla ya Mzee Azim Dewji kuwaita akina Mohamed Mwameja, George Masatu, Hussein Marrsha, Mwanangu mwenyewe wa Ilala Abdul Mashine ' Shinenga' na Rafiki yangu wa karibu David Mihambo na kuwapa Pesa ili ' Wachomeshe' na asitoe Gari za KIA allizoziahidi alikuwa ni Kocha wa Kigeni? Ukweli ni kwamba Simba SC ya wakati ule ilimuamini Kocha Kibaden na Yeye akafanya Kazi yake vyema bila ya Kuingiliwa na kiongozi yoyote wa Simba SC.

GENTAMYCINE namalizia kwa kusema huu Ukweli ambao ni Mchungu na najua wengi wenu ( hasa Viongozi ) wa Simba SC utawauma ( utawakera ) kuwa tatizo la Simba SC siyo kwa Kocha kwani kwa Upuuzi uliopo baina na Viongozi wa Simba SC, Usaliti, Unafiki, Uchawa ( kutumika na Watu wa Yanga SC ) na Dharau hata tumuajiri Pep Guardiola au Zinedine Zidane au Pitso Mosimame hatoweza Kudumu ndani y Klabu ya Simba.

Upesi sana achaneni na Kocha Stuart Baxter na tafuteni Makocha kutoka Ukanda wetu huu au hata wakiwa ni wa Nje basi wawe ni wa kutoka nchi za Belgium, Sweden, Denmark, Yugoslavia na Ufaransa ila siyo wa kutoka huku Sub Saharan Afrika kwani huwa siyo ' Competent' na hawana Sifa za Kuendeleza Vipaji vya Wachezaji.

Ninasisitiza tena Simba SC achaneni na Kocha Stuart Baxter upesi kama syo haraka sana kwani hatufai kabisa kabisa.
 
We mjinga sana, unawashauri waajiri makocha kutoka ukanda huu kwa kuwa wana gharama ndogo na wanaweza pia hapo hapo unasema wasiajiri makocha toka sub-saharan Africa au hujui kuwa hata ukanda wetu uko sub saharan Africa?

inaonekana pia una chuki sana na Barbara Gonzalez.

Punguza ujuaji popoma huchangii hata mia kwenye club.
 
Vita vya panzi furaha ya kunguru! Gombaneni, paganeni sisi tunachojua Yanga bingwa kwa miaka mitano
 
Kama kawaida yako Madam Kiherehere na Kukurupuka CEO Barbara Gonzalez na Uongozi wa Simba SC kwa kupenda Kwenu Kukurupuka hasa pale linapokuja Suala la Kuajiri Makocha. Kocha Stuart Baxter ambaye GENTAMYCINE nimehakikishiwa na Vyanzo vyangu aminika kuwa ndiyo Simba SC watampa Kandarasi nilibahatika kumfahamu mwaka 2004 nilipokuwa 'Kitaaluma' katika Chuo Kikuu cha UCT mwaka 2004 hadi 2005.

Katika Kumfahamu Kwangu huko nikiwa jirani kabisa Kimakazi ( katika Viunga vya Jiji la Cape Town ) na alliyekuwa Mchezaji wa Santos FC Mkenya Musa Otieno niliweza kumfuatilia kwa ukaribu hasa alipoteuliwa kuwa Kocha wa Timu ya Taifa ya Afrika Kusini Bafan Bafana.

Kama kuna Kocha ambaye hajawahi kuwa na Mafanikio yanayoakisi uwezo wake na ambaye hajawahi Kuaminika au Kupendwa na Mashabiki wa Soka wa Afrika Kusini ni huyu Kocha Mkuu ajaye wa Simba SC Stuart Baxter.

Nakumbuka miaka hiyo hiyo alipokuwa Kocha wa Bafana Bafana ambayo ilikuwa inafanya vibaya chini yake alishakoswakoswa Kupigwa na Mashabiki wasion na Uvumilivu wa Afrika Kusini ambao wakiwa wameshalewa Vilevi vyao na vimepnda Kichwani Kukupiga au Kukudhuru kwa Silaha kwao huwa ni Kaai rahisi mno.

Sijui ni Kitu gani ambacho Simba SC kupitia CEO Madam Kiherehere na Kukurupuka Barbara Gonzalez wamekiona kwa huyu Kocha Stuart Baxter ambaye hata Kaizer Chiefs FC wenyewe hivi karibuni tu wamesitisha nae Mkataba kutokana na Maatokeo siyo ya Kuridhisha na cha Kushangaza Klabu ya Simba imeamua kula Makapi yaliyoachwa na Kaizer Chiefs FC.

Na kama mnamuajiri huyu Kocha nawaonyeni mapema waambieni mapema sana Wachezaji wenu ( hasa Wazawa ) kuwa huyu Kocha hana Masihara na ni mwenye Hasira na Kumpiga Mchezaji Ngumi za akina Twaha Kiduku na Dulla Mbabe Kwake ni jambo rahisi kama si jepesi hivyo waanze Kujiandaa Kisaikolojia mapema.

Sioni sababu yoyote ya Uongozi wa Simba SC kuhangaika kutafuta Makocha wenye Profile Kubwa na Kumpa Gharama Kubwa wakati hapa hapa katika Ukanda wetu huu tuna Makocha wazuri sana, wasio na gharama kubwa na ambao kama tutawaamini na kuwapa Ushirikiano wanaweza kutufanyia makubwa kuliko hawa Makocha wenu wa 110% mnaowashadadia kila mara.

Kocha Abdallah King Kibaden aliyeipeleka Simba SC Fainali ya CAF kabla ya Mzee Azim Dewji kuwaita akina Mohamed Mwameja, George Masatu, Hussein Marrsha, Mwanangu mwenyewe wa Ilala Abdul Mashine ' Shinenga' na Rafiki yangu wa karibu David Mihambo na kuwapa Pesa ili ' Wachomeshe' na asitoe Gari za KIA allizoziahidi alikuwa ni Kocha wa Kigeni? Ukweli ni kwamba Simba SC ya wakati ule ilimuamini Kocha Kibaden na Yeye akafanya Kazi yake vyema bila ya Kuingiliwa na kiongozi yoyote wa Simba SC.

GENTAMYCINE namalizia kwa kusema huu Ukweli ambao ni Mchungu na najua wengi wenu ( hasa Viongozi ) wa Simba SC utawauma ( utawakera ) kuwa tatizo la Simba SC siyo kwa Kocha kwani kwa Upuuzi uliopo baina na Viongozi wa Simba SC, Usaliti, Unafiki, Uchawa ( kutumika na Watu wa Yanga SC ) na Dharau hata tumuajiri Pep Guardiola au Zinedine Zidane au Pitso Mosimame hatoweza Kudumu ndani y Klabu ya Simba.

Upesi sana achaneni na Kocha Stuart Baxter na tafuteni Makocha kutoka Ukanda wetu huu au hata wakiwa ni wa Nje basi wawe ni wa kutoka nchi za Belgium, Sweden, Denmark, Yugoslavia na Ufaransa ila siyo wa kutoka huku Sub Saharan Afrika kwani huwa siyo ' Competent' na hawana Sifa za Kuendeleza Vipaji vya Wachezaji.

Ninasisitiza tena Simba SC achaneni na Kocha Stuart Baxter upesi kama syo haraka sana kwani hatufai kabisa kabisa.
Wewe na bwana Kingwagala mkaanzishe timu yenu mtuachie simba yetu. Hamchangii chochote, watu wanapoteza mabilioni yao kusajili, kulipa mishahara, kusafirisha timu kwenye mashindano kwa garama kubwa nje ya nchi halafu ninyi mnawabeza. Wakiondoka hao mtaweza ninyi kuendesha timu waachenii
 
Kama kawaida yako Madam Kiherehere na Kukurupuka CEO Barbara Gonzalez na Uongozi wa Simba SC kwa kupenda Kwenu Kukurupuka hasa pale linapokuja Suala la Kuajiri Makocha. Kocha Stuart Baxter ambaye GENTAMYCINE nimehakikishiwa na Vyanzo vyangu aminika kuwa ndiyo Simba SC watampa Kandarasi nilibahatika kumfahamu mwaka 2004 nilipokuwa 'Kitaaluma' katika Chuo Kikuu cha UCT mwaka 2004 hadi 2005.

Katika Kumfahamu Kwangu huko nikiwa jirani kabisa Kimakazi ( katika Viunga vya Jiji la Cape Town ) na alliyekuwa Mchezaji wa Santos FC Mkenya Musa Otieno niliweza kumfuatilia kwa ukaribu hasa alipoteuliwa kuwa Kocha wa Timu ya Taifa ya Afrika Kusini Bafan Bafana.

Kama kuna Kocha ambaye hajawahi kuwa na Mafanikio yanayoakisi uwezo wake na ambaye hajawahi Kuaminika au Kupendwa na Mashabiki wa Soka wa Afrika Kusini ni huyu Kocha Mkuu ajaye wa Simba SC Stuart Baxter.

Nakumbuka miaka hiyo hiyo alipokuwa Kocha wa Bafana Bafana ambayo ilikuwa inafanya vibaya chini yake alishakoswakoswa Kupigwa na Mashabiki wasion na Uvumilivu wa Afrika Kusini ambao wakiwa wameshalewa Vilevi vyao na vimepnda Kichwani Kukupiga au Kukudhuru kwa Silaha kwao huwa ni Kaai rahisi mno.

Sijui ni Kitu gani ambacho Simba SC kupitia CEO Madam Kiherehere na Kukurupuka Barbara Gonzalez wamekiona kwa huyu Kocha Stuart Baxter ambaye hata Kaizer Chiefs FC wenyewe hivi karibuni tu wamesitisha nae Mkataba kutokana na Maatokeo siyo ya Kuridhisha na cha Kushangaza Klabu ya Simba imeamua kula Makapi yaliyoachwa na Kaizer Chiefs FC.

Na kama mnamuajiri huyu Kocha nawaonyeni mapema waambieni mapema sana Wachezaji wenu ( hasa Wazawa ) kuwa huyu Kocha hana Masihara na ni mwenye Hasira na Kumpiga Mchezaji Ngumi za akina Twaha Kiduku na Dulla Mbabe Kwake ni jambo rahisi kama si jepesi hivyo waanze Kujiandaa Kisaikolojia mapema.

Sioni sababu yoyote ya Uongozi wa Simba SC kuhangaika kutafuta Makocha wenye Profile Kubwa na Kumpa Gharama Kubwa wakati hapa hapa katika Ukanda wetu huu tuna Makocha wazuri sana, wasio na gharama kubwa na ambao kama tutawaamini na kuwapa Ushirikiano wanaweza kutufanyia makubwa kuliko hawa Makocha wenu wa 110% mnaowashadadia kila mara.

Kocha Abdallah King Kibaden aliyeipeleka Simba SC Fainali ya CAF kabla ya Mzee Azim Dewji kuwaita akina Mohamed Mwameja, George Masatu, Hussein Marrsha, Mwanangu mwenyewe wa Ilala Abdul Mashine ' Shinenga' na Rafiki yangu wa karibu David Mihambo na kuwapa Pesa ili ' Wachomeshe' na asitoe Gari za KIA allizoziahidi alikuwa ni Kocha wa Kigeni? Ukweli ni kwamba Simba SC ya wakati ule ilimuamini Kocha Kibaden na Yeye akafanya Kazi yake vyema bila ya Kuingiliwa na kiongozi yoyote wa Simba SC.

GENTAMYCINE namalizia kwa kusema huu Ukweli ambao ni Mchungu na najua wengi wenu ( hasa Viongozi ) wa Simba SC utawauma ( utawakera ) kuwa tatizo la Simba SC siyo kwa Kocha kwani kwa Upuuzi uliopo baina na Viongozi wa Simba SC, Usaliti, Unafiki, Uchawa ( kutumika na Watu wa Yanga SC ) na Dharau hata tumuajiri Pep Guardiola au Zinedine Zidane au Pitso Mosimame hatoweza Kudumu ndani y Klabu ya Simba.

Upesi sana achaneni na Kocha Stuart Baxter na tafuteni Makocha kutoka Ukanda wetu huu au hata wakiwa ni wa Nje basi wawe ni wa kutoka nchi za Belgium, Sweden, Denmark, Yugoslavia na Ufaransa ila siyo wa kutoka huku Sub Saharan Afrika kwani huwa siyo ' Competent' na hawana Sifa za Kuendeleza Vipaji vya Wachezaji.

Ninasisitiza tena Simba SC achaneni na Kocha Stuart Baxter upesi kama syo haraka sana kwani hatufai kabisa kabisa.
Acha kupigia ramli maisha ya watu wengine
 
Kama kawaida yako Madam Kiherehere na Kukurupuka CEO Barbara Gonzalez na Uongozi wa Simba SC kwa kupenda Kwenu Kukurupuka hasa pale linapokuja Suala la Kuajiri Makocha. Kocha Stuart Baxter ambaye GENTAMYCINE nimehakikishiwa na Vyanzo vyangu aminika kuwa ndiyo Simba SC watampa Kandarasi nilibahatika kumfahamu mwaka 2004 nilipokuwa 'Kitaaluma' katika Chuo Kikuu cha UCT mwaka 2004 hadi 2005.

Katika Kumfahamu Kwangu huko nikiwa jirani kabisa Kimakazi ( katika Viunga vya Jiji la Cape Town ) na alliyekuwa Mchezaji wa Santos FC Mkenya Musa Otieno niliweza kumfuatilia kwa ukaribu hasa alipoteuliwa kuwa Kocha wa Timu ya Taifa ya Afrika Kusini Bafan Bafana.

Kama kuna Kocha ambaye hajawahi kuwa na Mafanikio yanayoakisi uwezo wake na ambaye hajawahi Kuaminika au Kupendwa na Mashabiki wa Soka wa Afrika Kusini ni huyu Kocha Mkuu ajaye wa Simba SC Stuart Baxter.

Nakumbuka miaka hiyo hiyo alipokuwa Kocha wa Bafana Bafana ambayo ilikuwa inafanya vibaya chini yake alishakoswakoswa Kupigwa na Mashabiki wasion na Uvumilivu wa Afrika Kusini ambao wakiwa wameshalewa Vilevi vyao na vimepnda Kichwani Kukupiga au Kukudhuru kwa Silaha kwao huwa ni Kaai rahisi mno.

Sijui ni Kitu gani ambacho Simba SC kupitia CEO Madam Kiherehere na Kukurupuka Barbara Gonzalez wamekiona kwa huyu Kocha Stuart Baxter ambaye hata Kaizer Chiefs FC wenyewe hivi karibuni tu wamesitisha nae Mkataba kutokana na Maatokeo siyo ya Kuridhisha na cha Kushangaza Klabu ya Simba imeamua kula Makapi yaliyoachwa na Kaizer Chiefs FC.

Na kama mnamuajiri huyu Kocha nawaonyeni mapema waambieni mapema sana Wachezaji wenu ( hasa Wazawa ) kuwa huyu Kocha hana Masihara na ni mwenye Hasira na Kumpiga Mchezaji Ngumi za akina Twaha Kiduku na Dulla Mbabe Kwake ni jambo rahisi kama si jepesi hivyo waanze Kujiandaa Kisaikolojia mapema.

Sioni sababu yoyote ya Uongozi wa Simba SC kuhangaika kutafuta Makocha wenye Profile Kubwa na Kumpa Gharama Kubwa wakati hapa hapa katika Ukanda wetu huu tuna Makocha wazuri sana, wasio na gharama kubwa na ambao kama tutawaamini na kuwapa Ushirikiano wanaweza kutufanyia makubwa kuliko hawa Makocha wenu wa 110% mnaowashadadia kila mara.

Kocha Abdallah King Kibaden aliyeipeleka Simba SC Fainali ya CAF kabla ya Mzee Azim Dewji kuwaita akina Mohamed Mwameja, George Masatu, Hussein Marrsha, Mwanangu mwenyewe wa Ilala Abdul Mashine ' Shinenga' na Rafiki yangu wa karibu David Mihambo na kuwapa Pesa ili ' Wachomeshe' na asitoe Gari za KIA allizoziahidi alikuwa ni Kocha wa Kigeni? Ukweli ni kwamba Simba SC ya wakati ule ilimuamini Kocha Kibaden na Yeye akafanya Kazi yake vyema bila ya Kuingiliwa na kiongozi yoyote wa Simba SC.

GENTAMYCINE namalizia kwa kusema huu Ukweli ambao ni Mchungu na najua wengi wenu ( hasa Viongozi ) wa Simba SC utawauma ( utawakera ) kuwa tatizo la Simba SC siyo kwa Kocha kwani kwa Upuuzi uliopo baina na Viongozi wa Simba SC, Usaliti, Unafiki, Uchawa ( kutumika na Watu wa Yanga SC ) na Dharau hata tumuajiri Pep Guardiola au Zinedine Zidane au Pitso Mosimame hatoweza Kudumu ndani y Klabu ya Simba.

Upesi sana achaneni na Kocha Stuart Baxter na tafuteni Makocha kutoka Ukanda wetu huu au hata wakiwa ni wa Nje basi wawe ni wa kutoka nchi za Belgium, Sweden, Denmark, Yugoslavia na Ufaransa ila siyo wa kutoka huku Sub Saharan Afrika kwani huwa siyo ' Competent' na hawana Sifa za Kuendeleza Vipaji vya Wachezaji.

Ninasisitiza tena Simba SC achaneni na Kocha Stuart Baxter upesi kama syo haraka sana kwani hatufai kabisa kabisa.
Licha ya hizo sababu,sba hawana fedha za kumlipa kocha huyo
 
Yote uliyoandika ni pumba tu zaidi ni kujisifia , popoma la JF na kwa sasa we ndo bonge la popoma tangu mwonekano mpya wa JF.
 
Kama kawaida yako Madam Kiherehere na Kukurupuka CEO Barbara Gonzalez na Uongozi wa Simba SC kwa kupenda Kwenu Kukurupuka hasa pale linapokuja Suala la Kuajiri Makocha. Kocha Stuart Baxter ambaye GENTAMYCINE nimehakikishiwa na Vyanzo vyangu aminika kuwa ndiyo Simba SC watampa Kandarasi nilibahatika kumfahamu mwaka 2004 nilipokuwa 'Kitaaluma' katika Chuo Kikuu cha UCT mwaka 2004 hadi 2005.

Katika Kumfahamu Kwangu huko nikiwa jirani kabisa Kimakazi ( katika Viunga vya Jiji la Cape Town ) na alliyekuwa Mchezaji wa Santos FC Mkenya Musa Otieno niliweza kumfuatilia kwa ukaribu hasa alipoteuliwa kuwa Kocha wa Timu ya Taifa ya Afrika Kusini Bafan Bafana.

Kama kuna Kocha ambaye hajawahi kuwa na Mafanikio yanayoakisi uwezo wake na ambaye hajawahi Kuaminika au Kupendwa na Mashabiki wa Soka wa Afrika Kusini ni huyu Kocha Mkuu ajaye wa Simba SC Stuart Baxter.

Nakumbuka miaka hiyo hiyo alipokuwa Kocha wa Bafana Bafana ambayo ilikuwa inafanya vibaya chini yake alishakoswakoswa Kupigwa na Mashabiki wasion na Uvumilivu wa Afrika Kusini ambao wakiwa wameshalewa Vilevi vyao na vimepnda Kichwani Kukupiga au Kukudhuru kwa Silaha kwao huwa ni Kaai rahisi mno.

Sijui ni Kitu gani ambacho Simba SC kupitia CEO Madam Kiherehere na Kukurupuka Barbara Gonzalez wamekiona kwa huyu Kocha Stuart Baxter ambaye hata Kaizer Chiefs FC wenyewe hivi karibuni tu wamesitisha nae Mkataba kutokana na Maatokeo siyo ya Kuridhisha na cha Kushangaza Klabu ya Simba imeamua kula Makapi yaliyoachwa na Kaizer Chiefs FC.

Na kama mnamuajiri huyu Kocha nawaonyeni mapema waambieni mapema sana Wachezaji wenu ( hasa Wazawa ) kuwa huyu Kocha hana Masihara na ni mwenye Hasira na Kumpiga Mchezaji Ngumi za akina Twaha Kiduku na Dulla Mbabe Kwake ni jambo rahisi kama si jepesi hivyo waanze Kujiandaa Kisaikolojia mapema.

Sioni sababu yoyote ya Uongozi wa Simba SC kuhangaika kutafuta Makocha wenye Profile Kubwa na Kumpa Gharama Kubwa wakati hapa hapa katika Ukanda wetu huu tuna Makocha wazuri sana, wasio na gharama kubwa na ambao kama tutawaamini na kuwapa Ushirikiano wanaweza kutufanyia makubwa kuliko hawa Makocha wenu wa 110% mnaowashadadia kila mara.

Kocha Abdallah King Kibaden aliyeipeleka Simba SC Fainali ya CAF kabla ya Mzee Azim Dewji kuwaita akina Mohamed Mwameja, George Masatu, Hussein Marrsha, Mwanangu mwenyewe wa Ilala Abdul Mashine ' Shinenga' na Rafiki yangu wa karibu David Mihambo na kuwapa Pesa ili ' Wachomeshe' na asitoe Gari za KIA allizoziahidi alikuwa ni Kocha wa Kigeni? Ukweli ni kwamba Simba SC ya wakati ule ilimuamini Kocha Kibaden na Yeye akafanya Kazi yake vyema bila ya Kuingiliwa na kiongozi yoyote wa Simba SC.

GENTAMYCINE namalizia kwa kusema huu Ukweli ambao ni Mchungu na najua wengi wenu ( hasa Viongozi ) wa Simba SC utawauma ( utawakera ) kuwa tatizo la Simba SC siyo kwa Kocha kwani kwa Upuuzi uliopo baina na Viongozi wa Simba SC, Usaliti, Unafiki, Uchawa ( kutumika na Watu wa Yanga SC ) na Dharau hata tumuajiri Pep Guardiola au Zinedine Zidane au Pitso Mosimame hatoweza Kudumu ndani y Klabu ya Simba.

Upesi sana achaneni na Kocha Stuart Baxter na tafuteni Makocha kutoka Ukanda wetu huu au hata wakiwa ni wa Nje basi wawe ni wa kutoka nchi za Belgium, Sweden, Denmark, Yugoslavia na Ufaransa ila siyo wa kutoka huku Sub Saharan Afrika kwani huwa siyo ' Competent' na hawana Sifa za Kuendeleza Vipaji vya Wachezaji.

Ninasisitiza tena Simba SC achaneni na Kocha Stuart Baxter upesi kama syo haraka sana kwani hatufai kabisa kabisa.
Hakuna shida. Akishindwa kazi tutamfukuza, na mara moja tutaajiri kocha mwingine.

Muhimu tu mganga wa timu yetu (Matola) abakie kwenye ile nafasi yake mpaka 2030!
 
Kama kawaida yako Madam Kiherehere na Kukurupuka CEO Barbara Gonzalez na Uongozi wa Simba SC kwa kupenda Kwenu Kukurupuka hasa pale linapokuja Suala la Kuajiri Makocha. Kocha Stuart Baxter ambaye GENTAMYCINE nimehakikishiwa na Vyanzo vyangu aminika kuwa ndiyo Simba SC watampa Kandarasi nilibahatika kumfahamu mwaka 2004 nilipokuwa 'Kitaaluma' katika Chuo Kikuu cha UCT mwaka 2004 hadi 2005.

Katika Kumfahamu Kwangu huko nikiwa jirani kabisa Kimakazi ( katika Viunga vya Jiji la Cape Town ) na alliyekuwa Mchezaji wa Santos FC Mkenya Musa Otieno niliweza kumfuatilia kwa ukaribu hasa alipoteuliwa kuwa Kocha wa Timu ya Taifa ya Afrika Kusini Bafan Bafana.

Kama kuna Kocha ambaye hajawahi kuwa na Mafanikio yanayoakisi uwezo wake na ambaye hajawahi Kuaminika au Kupendwa na Mashabiki wa Soka wa Afrika Kusini ni huyu Kocha Mkuu ajaye wa Simba SC Stuart Baxter.

Nakumbuka miaka hiyo hiyo alipokuwa Kocha wa Bafana Bafana ambayo ilikuwa inafanya vibaya chini yake alishakoswakoswa Kupigwa na Mashabiki wasion na Uvumilivu wa Afrika Kusini ambao wakiwa wameshalewa Vilevi vyao na vimepnda Kichwani Kukupiga au Kukudhuru kwa Silaha kwao huwa ni Kaai rahisi mno.

Sijui ni Kitu gani ambacho Simba SC kupitia CEO Madam Kiherehere na Kukurupuka Barbara Gonzalez wamekiona kwa huyu Kocha Stuart Baxter ambaye hata Kaizer Chiefs FC wenyewe hivi karibuni tu wamesitisha nae Mkataba kutokana na Maatokeo siyo ya Kuridhisha na cha Kushangaza Klabu ya Simba imeamua kula Makapi yaliyoachwa na Kaizer Chiefs FC.

Na kama mnamuajiri huyu Kocha nawaonyeni mapema waambieni mapema sana Wachezaji wenu ( hasa Wazawa ) kuwa huyu Kocha hana Masihara na ni mwenye Hasira na Kumpiga Mchezaji Ngumi za akina Twaha Kiduku na Dulla Mbabe Kwake ni jambo rahisi kama si jepesi hivyo waanze Kujiandaa Kisaikolojia mapema.

Sioni sababu yoyote ya Uongozi wa Simba SC kuhangaika kutafuta Makocha wenye Profile Kubwa na Kumpa Gharama Kubwa wakati hapa hapa katika Ukanda wetu huu tuna Makocha wazuri sana, wasio na gharama kubwa na ambao kama tutawaamini na kuwapa Ushirikiano wanaweza kutufanyia makubwa kuliko hawa Makocha wenu wa 110% mnaowashadadia kila mara.

Kocha Abdallah King Kibaden aliyeipeleka Simba SC Fainali ya CAF kabla ya Mzee Azim Dewji kuwaita akina Mohamed Mwameja, George Masatu, Hussein Marrsha, Mwanangu mwenyewe wa Ilala Abdul Mashine ' Shinenga' na Rafiki yangu wa karibu David Mihambo na kuwapa Pesa ili ' Wachomeshe' na asitoe Gari za KIA allizoziahidi alikuwa ni Kocha wa Kigeni? Ukweli ni kwamba Simba SC ya wakati ule ilimuamini Kocha Kibaden na Yeye akafanya Kazi yake vyema bila ya Kuingiliwa na kiongozi yoyote wa Simba SC.

GENTAMYCINE namalizia kwa kusema huu Ukweli ambao ni Mchungu na najua wengi wenu ( hasa Viongozi ) wa Simba SC utawauma ( utawakera ) kuwa tatizo la Simba SC siyo kwa Kocha kwani kwa Upuuzi uliopo baina na Viongozi wa Simba SC, Usaliti, Unafiki, Uchawa ( kutumika na Watu wa Yanga SC ) na Dharau hata tumuajiri Pep Guardiola au Zinedine Zidane au Pitso Mosimame hatoweza Kudumu ndani y Klabu ya Simba.

Upesi sana achaneni na Kocha Stuart Baxter na tafuteni Makocha kutoka Ukanda wetu huu au hata wakiwa ni wa Nje basi wawe ni wa kutoka nchi za Belgium, Sweden, Denmark, Yugoslavia na Ufaransa ila siyo wa kutoka huku Sub Saharan Afrika kwani huwa siyo ' Competent' na hawana Sifa za Kuendeleza Vipaji vya Wachezaji.

Ninasisitiza tena Simba SC achaneni na Kocha Stuart Baxter upesi kama syo haraka sana kwani hatufai kabisa kabisa.
Nimeshasema siku nyingi huyu jamaa Genta.... ni yanga lia lia!! Inamuuma sana kuwa Simba tunaenda kuchukua bonge la kocha! Kutupiwa virago si hoja na makocha wengi wazuri walishatupiwa virago! Zinedane Zidane katupiwa virago na real madrid! Wenger alitupiwa virago na arsenal, na hata Anchelote alishatupiwa virago na real madrid halafu wakamchukua tena! Kwa hiyo huyo kocha kutupiwa virago na Kaizer chiefs siyo hoja!! Viongozi wa vilabu hutupia makocha virago kama njia ya kujiosha!
Bila aibu Genta... anaipendekezea simba makocha kama Kibaden!! Namheshimu sana Kibaden lakini hana kiwango cha kuifundisha Simba kwa hapa ilipofikia!! Labda akaifundishe Yanga!!
 
Ulikuwa UCT UNIVERSITY OF BUNDA RURAL..

eti capetown.

Habari za Baxter ume google hapa :

" England U-19, South Africa, Vissel Kobe and Helsingborg[edit]​

Baxter was hired by the Football Association to coach the England Under-19 team in 2002. After two years, he was hired as South Africa's manager. As guests of the 2005 CONCACAF Gold Cup, he led South Africa to the Quarter Finals before being eliminated via a penalty shootout by Panama.[12] By autumn 2005, he quit this role having failed to qualify for the 2006 World Cup. He later had another short spell at Vissel Kobe before moving back to Helsingborg, this time as manager in 2006. He took the Swedish side past the group stages of the UEFA Cup in 2007 but he resigned at the end of the year."



wewe jamaa huwaga sio mzima kabisa. me nahisi wenzako wana kugonga
 
GENTAMYCINE a.k.a Mjuaji mwingi
Siyo tu ni Mjuaji ila pia nina Akili kuliko Wapumbavu nyie Wote ambao Kutwa mnahubiri kunichukia hapa JamiiForums lakini hamuachi Kunifuatilia kwa kila Mada zangu au hata posts zangu ambazo huwa nazijibu katika Mada za wengine. Mnasema Mimi ni Mjuaji sana au najifanya Mjuaji kwani nyie Mimi nimewazuia nanyi kuwa Knowledgeable, Inquisitive, Smart and Well Informed kama Mimi? Mna Mawazo ya Kimasikini, Kiswahili na Chuki zilizojaa Wivu na Uwendawazimu pia.
 
Back
Top Bottom