Kocha Juma Mgunda kung'ang'ania Simba SC ni kuendelea kujishushia heshima na kujidumaza akili yako

Una ushahidi gani kuwa analipwa pesa ndefu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwa akili ya kawaida kutaka Mgunda aondoke Simba lazima tuseme una fikiri ni timu zipi Zina weza kumlipa vizuri.
Yanga tayari Wana kocha, Azam Fc na Singida Wana kocha tayari.
Hizi ndio timu zenye kulipa vizuri sana Tanzania na zimevutia wachezaji wengi kutoka nje ya mipaka ya Tanzania.
Mpira ni sehemu ya maisha, Mgunda kama kocha ana takiwa kubadilisha maisha yake na kujenga misingi sahihi ya kimaisha.
Jambo la pili Mgunda Hana uzoefu kama kocha katika soka la KIMATAIFA hivyo kuwa msaidizi kwa kocha mwenye kariba ya Robartihno ni Sahihi kabisa.
Robartihno ni kocha mkubwa Sana amefundisha klabu nyingi sana Afrika na amepata mafanikio makubwa hivyo ni Sahihi Mgunda kuwa msaidizi.
Huyu Matola uliyesema mwanzo yeye ndio ana stahili kuwa msaidizi pia amewahi kuwa kocha mkuu kwa timu za Lipuli na Polisi Tanzania.
Una kumbuka ubora wa Lipuli au Polisi Tanzania ilikuwa na ubora upi wakati sa Matola.
Kuwa kocha mkuu Kuna Factor nyingi sana, pale Singida kocha msaidizi wao amewahi kuwa kocha mkuu Mbeya City Martin Lule pia ni kocha mkubwa lakini hawezi kufikia daraja la Hans.
Pale Yanga Kaze ni kocha mzuri Sana na amewahi kuwa kocha mkuu Yanga lakini hawezi kufikia daraja la Nabi.
 
Kwa akili ya kawaida kutaka Mgunda aondoke Simba lazima tuseme una fikiri ni timu zipi Zina weza kumlipa vizuri.
Yanga tayari Wana kocha, Azam Fc na Singida Wana kocha tayari.
Hizi ndio timu zenye kulipa vizuri sana Tanzania na zimevutia wachezaji wengi kutoka nje ya mipaka ya Tanzania.
Mpira ni sehemu ya maisha, Mgunda kama kocha ana takiwa kubadilisha maisha yake na kujenga misingi sahihi ya kimaisha.
Jambo la pili Mgunda Hana uzoefu kama kocha katika soka la KIMATAIFA hivyo kuwa msaidizi kwa kocha mwenye kariba ya Robartihno ni Sahihi kabisa.
Robartihno ni kocha mkubwa Sana amefundisha klabu nyingi sana Afrika na amepata mafanikio makubwa hivyo ni Sahihi Mgunda kuwa msaidizi.
Huyu Matola uliyesema mwanzo yeye ndio ana stahili kuwa msaidizi pia amewahi kuwa kocha mkuu kwa timu za Lipuli na Polisi Tanzania.
Una kumbuka ubora wa Lipuli au Polisi Tanzania ilikuwa na ubora upi wakati sa Matola.
Kuwa kocha mkuu Kuna Factor nyingi sana, pale Singida kocha msaidizi wao amewahi kuwa kocha mkuu Mbeya City Martin Lule pia ni kocha mkubwa lakini hawezi kufikia daraja la Hans.
Pale Yanga Kaze ni kocha mzuri Sana na amewahi kuwa kocha mkuu Yanga lakini hawezi kufikia daraja la Nabi.
Ahsante nayafanyia kazi maoni yako.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Naam, mlio karibu na kocha juma mgunda naomba mumuonyeshe mawazo na fikra sahihi yaliyoandikwa na the great thinker NALIA NGWENA.

Ndiyoo ukweli mchungu lakini pia ni tiba kwa mtu mwelevu na mwenye kufikiria. Nimeikumbuka coastal union ya mgunda ambayo yanga alikua hapati matokeo kirahisi na hata akipata lazima yanga afanye kazi kweli kweli.

Mpaka zikaibuka kelele za mashabiki nakudai kuwa coast ni simba B ipo ili kuikazia yanga isipate pointi tatu muhimu.

Kumbe haikua hivyo Bali ni tecninic mujarabu za mwamba mmoja aliyependa kuvaa msuli na siyo mwingine Bali ni kocha wa mpira pep gadiola mnene Al watani juma mgunda mzawa.

Huyu mwamba anauwezo mkubwa ni moja Kati ya makocha wazawa taifa linawahitaji katika kukuza mpira wetu huu.

Kila nikikumbuka fainali ya kombe la azam, mgunda akiwa benchi na kikosi chake kikiikabili yanga nakutoa sare ya mabao matatu kwa kila timu mpaka kupigwa mikwaju ya penati na ndipo yanga anaibuka kidedea nakuchukua kombe.

Ilikua ni bonge la fainali juma mgunda alipambana na kocha nabi kimbinu mpaka mchezo unamalizika.

Hakika mwamba mgunda alitekeleza majukumu yake ipasavyo. Kila nikikumbuka mbinu zake alizozitumia kuisogeza simba sc kimataifa baada ya simba kumfukuza kocha naona kabisa mgunda anasitahili kuwa na timu na siyo kuwa kocha msaidizi.

Kila nikiitazama azam, singida na ihefu naona kabisa mzawa mgunda anastahili kuwa kocha wa hizo timu na ataleta upinzani mkubwa katika timu kongwe za kariakoo.

Kwa uwezo alionao mgunda hastahili kuwa kocha msaidizi pale simba, hayo Mambo amuachie suleimani matola maana bado anajifunza na aendelee kugain experience kutoka kwa hao makocha wageni.

Inanisikitisha sana kumuona robertinho akipiga tumbo la mgunda kwa midadi kabisa baada yakuona mchezaji wake amekosa au amepata goli, kiukweli hii ni dharau kabisa.

Kila ninapo muona munda kwenye benchi la simba huwa napata majibu kuwa wachezaji wa kibongo na makoncha ndoto yao kubwa ni kucheza au kufundisha yanga na simba tu, na ndiyo maana kocha au mchezaji anafurahia kukaa benchi hata Kama akiwa hapati namba.

Nikiwa Kama mdau wa mpira NALIA NGWENA THE GREAT THINKER nakuambia juma mgunda nenda katafute timu kwani kung'ang'ania simba nikujishushia heshima maana hao makocha wa kigeni wanaokuja hapo hakuna kigeni usichokijua.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wenye timu zao wakimuhitaji watachukua. Au ikitokea nafasi ya kazi ataomba. Lakini siyo timu kama Ruvu, Mbeya City, Coastal ni bora kuwa kocha msaidizi Simba.
 
Naam, mlio karibu na kocha juma mgunda naomba mumuonyeshe mawazo na fikra sahihi yaliyoandikwa na the great thinker NALIA NGWENA.

Ndiyoo ukweli mchungu lakini pia ni tiba kwa mtu mwelevu na mwenye kufikiria. Nimeikumbuka coastal union ya mgunda ambayo yanga alikua hapati matokeo kirahisi na hata akipata lazima yanga afanye kazi kweli kweli.

Mpaka zikaibuka kelele za mashabiki nakudai kuwa coast ni simba B ipo ili kuikazia yanga isipate pointi tatu muhimu.

Kumbe haikua hivyo Bali ni tecninic mujarabu za mwamba mmoja aliyependa kuvaa msuli na siyo mwingine Bali ni kocha wa mpira pep gadiola mnene Al watani juma mgunda mzawa.

Huyu mwamba anauwezo mkubwa ni moja Kati ya makocha wazawa taifa linawahitaji katika kukuza mpira wetu huu.

Kila nikikumbuka fainali ya kombe la azam, mgunda akiwa benchi na kikosi chake kikiikabili yanga nakutoa sare ya mabao matatu kwa kila timu mpaka kupigwa mikwaju ya penati na ndipo yanga anaibuka kidedea nakuchukua kombe.

Ilikua ni bonge la fainali juma mgunda alipambana na kocha nabi kimbinu mpaka mchezo unamalizika.

Hakika mwamba mgunda alitekeleza majukumu yake ipasavyo. Kila nikikumbuka mbinu zake alizozitumia kuisogeza simba sc kimataifa baada ya simba kumfukuza kocha naona kabisa mgunda anasitahili kuwa na timu na siyo kuwa kocha msaidizi.

Kila nikiitazama azam, singida na ihefu naona kabisa mzawa mgunda anastahili kuwa kocha wa hizo timu na ataleta upinzani mkubwa katika timu kongwe za kariakoo.

Kwa uwezo alionao mgunda hastahili kuwa kocha msaidizi pale simba, hayo Mambo amuachie suleimani matola maana bado anajifunza na aendelee kugain experience kutoka kwa hao makocha wageni.

Inanisikitisha sana kumuona robertinho akipiga tumbo la mgunda kwa midadi kabisa baada yakuona mchezaji wake amekosa au amepata goli, kiukweli hii ni dharau kabisa.

Kila ninapo muona munda kwenye benchi la simba huwa napata majibu kuwa wachezaji wa kibongo na makoncha ndoto yao kubwa ni kucheza au kufundisha yanga na simba tu, na ndiyo maana kocha au mchezaji anafurahia kukaa benchi hata Kama akiwa hapati namba.

Nikiwa Kama mdau wa mpira NALIA NGWENA THE GREAT THINKER nakuambia juma mgunda nenda katafute timu kwani kung'ang'ania simba nikujishushia heshima maana hao makocha wa kigeni wanaokuja hapo hakuna kigeni usichokijua.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Threads za wanaUtopolo bhana!!
 
Kuna kitu kinaitwa exposure, hapo costal miaka nenda rudi CV inabaki vile vile ila anaposhiriki michuano mikubwa kama champions league etc hats kama ni kocha msaidiz inampa milage sana
 
Kuna kitu kinaitwa exposure, hapo costal miaka nenda rudi CV inabaki vile vile ila anaposhiriki michuano mikubwa kama champions league etc hats kama ni kocha msaidiz inampa milage sana
Kwa hiyo mgunda mpaka Sasa anatafuta exposure pale simba??

Selemani matola ana miaka mingapi pale mpaka Sasa.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwa uwezo alionao mgunda hastahili kuwa kocha msaidizi pale simba, hayo
Umri unaenda, heshima inakuja kwa kuwa na fedha, sio kuwa na historia ya timu ilivyoivimbia Yanga. Hata Nabi angeweza kubaki Yanga ili apate sifa za humu nchini, lakini amefuata hela Sauzi huku akijua kuna uwezekano mkubwa asipate tena zile sifa alizopata bongo. Hela ndio kila kitu, sifa waachie akina Mrisho Ngassa. Kwa ufupi Mgunda yupo Simba kwa ajili ya pesa
 
Naam, mlio karibu na kocha juma mgunda naomba mumuonyeshe mawazo na fikra sahihi yaliyoandikwa na the great thinker NALIA NGWENA.

Ndiyoo ukweli mchungu lakini pia ni tiba kwa mtu mwelevu na mwenye kufikiria. Nimeikumbuka coastal union ya mgunda ambayo yanga alikua hapati matokeo kirahisi na hata akipata lazima yanga afanye kazi kweli kweli.

Mpaka zikaibuka kelele za mashabiki nakudai kuwa coast ni simba B ipo ili kuikazia yanga isipate pointi tatu muhimu.

Kumbe haikua hivyo Bali ni tecninic mujarabu za mwamba mmoja aliyependa kuvaa msuli na siyo mwingine Bali ni kocha wa mpira pep gadiola mnene Al watani juma mgunda mzawa.

Huyu mwamba anauwezo mkubwa ni moja Kati ya makocha wazawa taifa linawahitaji katika kukuza mpira wetu huu.

Kila nikikumbuka fainali ya kombe la azam, mgunda akiwa benchi na kikosi chake kikiikabili yanga nakutoa sare ya mabao matatu kwa kila timu mpaka kupigwa mikwaju ya penati na ndipo yanga anaibuka kidedea nakuchukua kombe.

Ilikua ni bonge la fainali juma mgunda alipambana na kocha nabi kimbinu mpaka mchezo unamalizika.

Hakika mwamba mgunda alitekeleza majukumu yake ipasavyo. Kila nikikumbuka mbinu zake alizozitumia kuisogeza simba sc kimataifa baada ya simba kumfukuza kocha naona kabisa mgunda anasitahili kuwa na timu na siyo kuwa kocha msaidizi.

Kila nikiitazama azam, singida na ihefu naona kabisa mzawa mgunda anastahili kuwa kocha wa hizo timu na ataleta upinzani mkubwa katika timu kongwe za kariakoo.

Kwa uwezo alionao mgunda hastahili kuwa kocha msaidizi pale simba, hayo Mambo amuachie suleimani matola maana bado anajifunza na aendelee kugain experience kutoka kwa hao makocha wageni.

Inanisikitisha sana kumuona robertinho akipiga tumbo la mgunda kwa midadi kabisa baada yakuona mchezaji wake amekosa au amepata goli, kiukweli hii ni dharau kabisa.

Kila ninapo muona munda kwenye benchi la simba huwa napata majibu kuwa wachezaji wa kibongo na makoncha ndoto yao kubwa ni kucheza au kufundisha yanga na simba tu, na ndiyo maana kocha au mchezaji anafurahia kukaa benchi hata Kama akiwa hapati namba.

Nikiwa Kama mdau wa mpira NALIA NGWENA THE GREAT THINKER nakuambia juma mgunda nenda katafute timu kwani kung'ang'ania simba nikujishushia heshima maana hao makocha wa kigeni wanaokuja hapo hakuna kigeni usichokijua.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Pambaneni na hali yenu
 
Back
Top Bottom