Naona watu wanashindwa kukukaribisha chumbani ila mi najitolea. Karibu chumbani, mi nitakupisha ulale kitandani, mimi nalala jamvini, sawa? Malaria Sugu sijui yuko wapi ila jiskie huru, hapa ni nyumbani, akija mtaonana tu. Karibu.
Mh aisee kwa leo ukalale kwa barozi....mgeni gani unakuja usiku?Mwali nashukuru kwa kunikaribisha, naomba usinipishe kitandani maana nimezoea kulala wima. nitakuwa mlinzi wako kwa leo
Mh aisee kwa leo ukalale kwa barozi....mgeni gani unakuja usiku?
Wakuu hodi huku chumbani, mwenzenu nimechoka kulala chumba cha wageni.
Nategemea kumkuta binamu yangu malaria sugu huku ili tushirikiane kwa kazi hii. na wengine naomba tuvumiliane ili tujenge Taifa letu.