Kuna ujenzi unaendelea katika kanisa hili ila tatizo kubwa limekuwa ujenzi umekuwa hauendi katika speed inayotakiwa japokuwa hela ya kutosha ipo ya kazi kuendelea
Ujenzi umesimama kwa muda sasa na hatua hata ya kuweka madirisha haiendelei tena na uongozi wa kanisa hausemi lolote.
HELA ZIPO, UJENZI HAUENDELEI, UONGOZI WA KANISA HAUSEMI LOLOTE, KULIKONI?
Ujenzi umesimama kwa muda sasa na hatua hata ya kuweka madirisha haiendelei tena na uongozi wa kanisa hausemi lolote.
HELA ZIPO, UJENZI HAUENDELEI, UONGOZI WA KANISA HAUSEMI LOLOTE, KULIKONI?