Afu achukue hatua....lolmapenzi na vita ni sawa sawa......in love and war all is fair......tafakari....
unaamini mapenzi ni hisia?kama ni ndio toa maelezo......,then na ni kip kinachosababisha kumpenda mtu?..............,toa maelezo plz maswali hayo yananiumiza kichwa nisaidien...................
Una umri gani??????
Ushawahi penda/pendwa weye???
Ushawahi jiuliza kitu gani kilimvutia kwako huyo mtu hadi akakupenda??????
Jibu kwanza haya maswali ndio ntaweza kujibu hoja yako
!nina umri wa miaka 22,yap nimeshapendwa bt cjawah kumuuliza n nn amependa kwangu?nilishapenda bt tangu nilivyotendwa cjawahi penda tena