Sugi....anayeweza kujibu hilo swali ni mganga wa kupiga ramli tu...na sio daktari! Kizungu zungu kina sababu nyiingi tu, ungetoa maelezo ya kutosha ingekuwa rahisi kwa wataalamu wa afya hapa JF kufikiri inaweza kuwa nini na kukusaidia.
Sugi....anayeweza kujibu hilo swali ni mganga wa kupiga ramli tu...na sio daktari! Kizungu zungu kina sababu nyiingi tu, ungetoa maelezo ya kutosha ingekuwa rahisi kwa wataalamu wa afya hapa JF kufikiri inaweza kuwa nini na kukusaidia.
thanks Riwa,kwa ushauri,ila sina maelezo ya ziada,nilichokieleza ndo kilichonitokea,yaan ningepata scientific reason ya kisababishi cha kizunguzungu,ningesaidika sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.