Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 8,337
- 26,236
Tena unaongea humu? Leo nafata Hela yangu...........khanga nimekuuzia 2017 mpaka Leo 🙄khanga ya mkopo kutoka kwa muha
Tena unaongea humu? Leo nafata Hela yangu...........khanga nimekuuzia 2017 mpaka Leo 🙄khanga ya mkopo kutoka kwa muha
Ndugu yangu alikopa Probox Dar, alipo-default mkopo walimnasa huko Mafia kwetu sehemu isiyofikika.Hapo kwenye boda boda hawawezi kuwakamata, wewe pikipiki ninunue niipeleke shambani kiberege huko, watafika leo..?
Nifa.Namshukuru Mungu sina hata kimojawapo hapo na sijawahi.
Nina roho nyepesi siwezi kuishi na deni la mtu!
Uwe na damu waikausheHivi kausha damu kukopesha sifa uwe na vigezo gani?
Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
Never!Nifa.
Hata mume wa mkopo pia huna?
Utakuwa unaishi kwa upigaji kazini kwako wewe. Mtz asiyekuwa na sehemu ya kupiga lazima mkopo haumkwepi labda ahame Jamhuri.
Filosofia za uchumi zipo well known kwa mataifa yote duniani sema shida huja kwenye implementation za hizo theories na principles za uchumi. Ndio maana nchi moja ni tajiri, nyingine zinakuwa kwa kasi sana huku nchi za dunia ya tatu kama hapa Tanzania tukichechemea kila nyanja ya maendeleo.Kweli mkuu, ila huo mfumo wa uchumi si umetengenezwa na fikra za wachumi nyie?
Ndugu yako anaweza akawa mjinga, sio kila mtu ni mjinga kama ndugu yako.Ndugu yangu alikopa Probox Dar, alipo-default mkopo walimnasa huko Mafia kwetu sehemu isiyofikika.
Mdhamini, furniture zinazotazamika.Hivi kausha damu kukopesha sifa uwe na vigezo gani?
Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
DHAMANAHivi kausha damu kukopesha sifa uwe na vigezo gani?
Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
Hivi yule profesori wa kuiga mikumbo analizungumziaje hiliOle wako unayenunua simu ya kiganjani kwa mtu badala ya dukani.
Wengi wanatambia simu za mkopo na wanaoshindwa kumaliza mkopo baadhi yao hujitoa akili kwa kuziuza na kutokomea.
Makampuni ya simu za mikopo yanaanza operesheni maalum rasmi ya kukusanya madeni na ku-recover simu hizo kwenye robo ya kwanza ya mwaka 2024.
Makampuni ya mikopo ya bodaboda nayo yanajifua kuanza operesheni mwakani. Usinunue bodaboda mikononi bila ya kuwa na uhakika na ununuzi wake wa awali.
Maisha ya Mtz yanazidi kuwa kwenye hotspot. Mtz anadiwa kimataifa, kitaifa na kibinafsi.
Mtz ana simu ya mkopo, boda ya mkopo, servant quarter ya mkopo benki, sufuria za mkopo za Waturuki, vifaa vya ujenzi vya mkopo kwa Massawe wa Kishimundu, TV set ya mkopo kwy duka la Mkinga wa kutoka Makete, ticket ya mkopo ya Precision Air, digrii ya mkopo ya bodi ya mikopo ya elimu ya juu, malimbikizo ya ada ya uanachama wa CCM ambayo kwa mwezi ni 100/ kwa mwaka ni 1,200/ tu, mke wa mkopo (anadaiwa mahari), anadaiwa marejesho vicoba sehemu 4 tofauti (1. Kaushadamu, 2. Usiku wa deni mfupi, 3. Kopauchizike, 4. Vunjandoa)
NB: Wachumi wa nchi hii mliosomeshwa kwa kodi zetu mko wapi? Mnafanya nini kuokoa taifa na hali hii? Nyie ni sehemu ya kuifikisha nchi kwy hali hii au?
wapi pameandikwa 2004 ?"yanaanza operesheni maalum rasmi ya kukusanya madeni na ku-recover simu hizo kwenye robo ya kwanza ya mwaka 2004".
Badala ya 2004 kwanini kama itakupendeza isomeke 2024?
sina helaTena unaongea humu? Leo nafata Hela yangu...........khanga nimekuuzia 2017 mpaka Leo 🙄
nina mikopo mingi😀😀😀 bamdogoMamdogo wewe una mkopo au mikopo gani?
Ngoja nije utajua mi ni muha wa Burundi au kigomasina hela
Ni Hatari sanaOle wako unayenunua simu ya kiganjani kwa mtu badala ya dukani.
Wengi wanatambia simu za mkopo na wanaoshindwa kumaliza mkopo baadhi yao hujitoa akili kwa kuziuza na kutokomea.
Makampuni ya simu za mikopo yanaanza operesheni maalum rasmi ya kukusanya madeni na ku-recover simu hizo kwenye robo ya kwanza ya mwaka 2024.
Makampuni ya mikopo ya bodaboda nayo yanajifua kuanza operesheni mwakani. Usinunue bodaboda mikononi bila ya kuwa na uhakika na ununuzi wake wa awali.
Maisha ya Mtz yanazidi kuwa kwenye hotspot. Mtz anadiwa kimataifa, kitaifa na kibinafsi.
Mtz ana simu ya mkopo, boda ya mkopo, servant quarter ya mkopo benki, sufuria za mkopo za Waturuki, vifaa vya ujenzi vya mkopo kwa Massawe wa Kishimundu, TV set ya mkopo kwy duka la Mkinga wa kutoka Makete, ticket ya mkopo ya Precision Air, digrii ya mkopo ya bodi ya mikopo ya elimu ya juu, malimbikizo ya ada ya uanachama wa CCM ambayo kwa mwezi ni 100/ kwa mwaka ni 1,200/ tu, mke wa mkopo (anadaiwa mahari), anadaiwa marejesho vicoba sehemu 4 tofauti (1. Kaushadamu, 2. Usiku wa deni mfupi, 3. Kopauchizike, 4. Vunjandoa)
NB: Wachumi wa nchi hii mliosomeshwa kwa kodi zetu mko wapi? Mnafanya nini kuokoa taifa na hali hii? Nyie ni sehemu ya kuifikisha nchi kwy hali hii au?