bucho JF-Expert Member Jul 13, 2010 5,113 3,117 Oct 4, 2012 Thread starter #21 Preta said: kila mtu anataka kuishi Arusha kudadadeki.......Arusha woyeeeeeeeeeeee........ Click to expand... Arusha kuna utamu wake , asikuambie mtu.
Preta said: kila mtu anataka kuishi Arusha kudadadeki.......Arusha woyeeeeeeeeeeee........ Click to expand... Arusha kuna utamu wake , asikuambie mtu.
bucho JF-Expert Member Jul 13, 2010 5,113 3,117 Oct 8, 2012 Thread starter #22 Crashwise said: akina yahe tutatafuta kwa mrombo na kwingineko M30 siyo mchezo huu ni mshara wa miaka migapi vile..lol Click to expand... mkuu walah usijali bei kila kiyu ni mipango tu . ukiwa na malengo hakuna kinachoshindikana.
Crashwise said: akina yahe tutatafuta kwa mrombo na kwingineko M30 siyo mchezo huu ni mshara wa miaka migapi vile..lol Click to expand... mkuu walah usijali bei kila kiyu ni mipango tu . ukiwa na malengo hakuna kinachoshindikana.
CHASHA FARMING JF-Expert Member Jun 4, 2011 7,789 8,915 Oct 8, 2012 #23 Kumbe bora na KISONGO juzi nimepata robo heka kwa milioni 2.
Eeka Mangi JF-Expert Member Jul 27, 2008 3,173 481 Oct 8, 2012 #24 Preta said: kila mtu anataka kuishi Arusha kudadadeki.......Arusha woyeeeeeeeeeeee........ Click to expand... Mi sitaki kuishi Arusha bana!
Preta said: kila mtu anataka kuishi Arusha kudadadeki.......Arusha woyeeeeeeeeeeee........ Click to expand... Mi sitaki kuishi Arusha bana!
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,678 68,652 Oct 8, 2012 #25 Weka bei burka ndio wapi? Ni town au nje ya nji? Au ni Umenyeni kwa wamasai?
Preta JF-Expert Member Nov 28, 2009 24,323 18,793 Oct 8, 2012 #26 Eeka Mangi said: Mi sitaki kuishi Arusha bana! Click to expand... chezeya Chugga wewe........