Kiwanja sq 487 naweza jenga ghorofa na kubaki na parking ya kutosha?

amaketa

Member
Sep 22, 2009
5
0
Wana Jf nina kiwanja kipo Dodoma ukubwa na sq 487 nawenza kujenga ghorofa na kupata nafasi ya parking?
 
Wana Jf nina kiwanja kipo dodoma ukubwa na sq 487 nawenza kujenga ghorofa na kupata nafasi ya parking?
Ndiyo kama ni makazi structure itachukua 280 na zinazobaki 200 ni paking. Ukienda juu floor 3 utapata makazi ya kutosha kabisa
 
Kwanza Tafuta mafund Ujenz wawili watatu upate ushauri.
Ila hiko ni kama kiwanja cha 20*20.
Na je kimekaa Square au kimepinda?. Tambarale au kina bonde?, udongo wake ukoje?.

Anyway . Sijajua ni Ghorofa la aina gani na hizo details hapo juu huwa zinaongeza/kupunguza gharama ya ufundi. Maana Average ya msingi wa ghorofa wenyewe sio chini ya mill 14-20.

Sasa kama hela ya kujenga Ghorofa ipo, kwanini unajenga kwa kiwanja kidogo hivyo?. Labda kama kipo katikati ya mji.
 
Mkuu uko serious kweli? Mbona viwanja Dodoma bado vingi Kama unataka kushusha bangaroo..why ujibane hapo?

Boss, ungekuwa serious kweli hata huku hi mada isingefika na jibu ungekuwa ushapata hukohuko mtaani.

Anyway, Check na architecture atakupa ushauri zaidi
 
Wote waliokushauri, wamejitaidi, gorofa inahitaji vitu vingi, sehemu ya maji taka, ni muhimu. Parking, sehemu za kuanika nguo. Vitu vyote hivi vizingatiwe wakati was kuandaa michoro. Sqm 498 ni kidogo sana.
 
Unajenga vizuri, na parking unapata labda kama una malori ndiyo hutopata parking.

Tafuta architecture mzuri, atakutimiza hitaji lako..

Everyday is Saturday............................ :cool:
 
Wote waliokushauri, wamejitaidi, gorofa inahitaji vitu vingi, sehemu ya maji taka, ni muhimu. Parking, sehemu za kuanika nguo. Vitu vyote hivi vizingatiwe wakati was kuandaa michoro. Sqm 498 ni kidogo sana.
Ushawahi kwenda katikati ya Jiji wewe? Hiyo nafasi inatosha kabisa kujenga ghorofa.

Floor ya chini anaweka sebule, dinning, jiko, store na garage. Hivyo vyote vinachukua less than 100 SQM. Hapo chini zimebaki 300. Toa fence na reserve area ya mpakani.

Juu anaweza vyumba vya kulala.

Shimo la Choo mjini halihitajiki unaconnect kwenye central sewerage.
 
Waone Architect wakushauri.
Binafsi naona inatosha ,mfano:-
1.Gnd Fl. Lounge,Kitchen,Dining, pb Tlr.
2.1st Fl. 3 Bedroom & balconies.
3.2nd fl.Gym,,family lounge,study room.
4.Terrace fl. Laundry & swimming,open kitchen.
Size 16*20m
 
Wote waliokushauri, wamejitaidi, gorofa inahitaji vitu vingi, sehemu ya maji taka, ni muhimu. Parking, sehemu za kuanika nguo. Vitu vyote hivi vizingatiwe wakati was kuandaa michoro. Sqm 498 ni kidogo sana.
Ume exaggerate, Kwan hizo square meter anajenga ghorofa vizuri kabisa na parking anapata.
 
Wana Jf nina kiwanja kipo Dodoma ukubwa na sq 487 nawenza kujenga ghorofa na kupata nafasi ya parking?
Umefunga pm yako utasaidiwaje? Mimi ndiyo kazi yangu inipayo heshima, kwa ufupi INAWEZEKANA kutegemeana pia na mahitaji yako
 
Yes unaweza, mara nyingi ghorofa moja ya kuishi(residential) huchukua kati ya mita 12 kwa 16, yaani imo katikati ya hivyo vipimo. Kiwanja cha sqm 487 ni kama mita 20 kwa 24, hivyo ghorofa linakaa vizuri tu japo nafasi inabaki ndogo na huwezi kuweka garden nzuri
Ila mm ndio ningekuwa wewe ningetafuta kiwanja cha atleast sqm 1000. Raha ya ghorofa kuwe na garden kali sana chini
Labda uende nje ya mji ndio utapata uwanja wa vipimo ivyo
 
Back
Top Bottom