Hbr gani wanajamvini! Jamani mwenzio naishi geita mkoani mwanza, kwa wale wenyeji wa mwanza....! Natafuta kiwanja cha size ya kati ndani ya jiji la mwanza, pls am serious jamani kama kuna yeyote anauza uwanja anifahamishe pls sehem na bei ni tsh ngapi? Maeneo nayopendelea ni busweru, mkolani, nyegezi, kishiri, na sehem nyingine ambazo hazipo mbali sana na mji. Pia viwanja vya kimagumashi vya kuuziana mara saba watu tofauti sivitaki.