Kiwanja (20x40) Tsh 6.5M kimekaa Tambarale kabisa, kimezungukwa na makazi ya watu pamoja na huduma zote kijamii
Kiwanja hiki Kipo kiluvya makulunge karibu na zahanati ya makulunge upande wa kulia wa barabara ya kuelekea kwa sumaye, umbali kutoka kwa hiyo barabara mpaka kiwanja kilipo ni dakka3 tu upo site
Kinafaa kwa makazi. Barabara ipo vizuri mpaka site
Documents za umiliki zipo toka Serikali za mtaa.
Kiwanja hiki Kipo kiluvya makulunge karibu na zahanati ya makulunge upande wa kulia wa barabara ya kuelekea kwa sumaye, umbali kutoka kwa hiyo barabara mpaka kiwanja kilipo ni dakka3 tu upo site
Kinafaa kwa makazi. Barabara ipo vizuri mpaka site
Documents za umiliki zipo toka Serikali za mtaa.