we need to change not with that 100mil? hito milion 100 nitapata 2 bedroom apartment UKtena mahala pazuri mno! Tz land markets sucks!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Hiyo bei ni kutokana na Eneo kiwanja kilipo.
Kama unajua bei ya Viwanja huwezi shangaa hilo.
Lakini ungetakiwa kuuliza pia kama mazungumzo yapo.
Sishangai lakini kwa kuwa Mtandao wa Jamii Forums huwa tunapenda sana kuwa ma critic zaidi kuliko kuwa supporters au wadadisi kwa kuuliza information zaidi. Hata kama ishu ni ya ukweli lazma utakumbana na comments za kuvunja moyo.
It sucks big time ! We need to change for real ...
Hiyo bei ni kutokana na Eneo kiwanja kilipo.
Kama unajua bei ya Viwanja huwezi shangaa hilo.
Lakini ungetakiwa kuuliza pia kama mazungumzo yapo.
Sishangai lakini kwa kuwa Mtandao wa Jamii Forums huwa tunapenda sana kuwa ma critic zaidi kuliko kuwa supporters au wadadisi kwa kuuliza information zaidi. Hata kama ishu ni ya ukweli lazma utakumbana na comments za kuvunja moyo.
It sucks big time ! We need to change for real ...
better inverst in UK or USA baadae utapata faida than TZ lol never buy a house in TZ too much! badala ya kujenga nyumba na kuhuza kwa bei nafuu ili wanendelee kujenga tungekuwa tuko mbali sana. mtajiju!mil 100 let say ni kama $ alfu 90 au 80, unapata one bedroom miami, dublin or dubai according to my experience, sehemu ambayo umeme wa uhakika na maji ya kumwaga.
Kiwanja chenye ukubwa wa 450 square metre (18x26) ambacho kipo opposite na Vijana Social Hall kinauzwa.
Document zote zipo na hakina mgogoro wowote.
Bei 100m
Mawasiliano: 0713531152
i Hate the housing and land market in TZ is away too much! mnaoishi UK or USA please dont invenst in TZ, too expensive!
Mil 100 za tanzania au malawi?
i Hate the housing and land market in TZ is away too much! mnaoishi UK or USA please dont invenst in TZ, too expensive!
Kiwanja chenye ukubwa wa 450 square metre (18x26) ambacho kipo opposite na Vijana Social Hall kinauzwa.
Document zote zipo na hakina mgogoro wowote.
Bei 100m
Mawasiliano: 0713531152