Kwembe sehemu gani ?Ni kiwanja kimoja, hakijapimwa (Not Surveyed), kina ukubwa wa mita za mraba 2000, ila ukitaka nusu yake (mita za mraba 1000) unauziwa, kipo eneo la Kwembe, ni Kilomita 2.5 kutoka barabara ya Morogoro.
Bei ni TZS 10,000,000 kwa chote au Shilingi 5,000,000 kwa nusu yake.
Ni kiwanja kimoja, hakijapimwa (Not Surveyed), kina ukubwa wa mita za mraba 2000, ila ukitaka nusu yake (mita za mraba 1000) unauziwa, kipo eneo la Kwembe, ni Kilomita 2.5 kutoka barabara ya Morogoro.
Bei ni TZS 10,000,000 kwa chote au Shilingi 5,000,000 kwa nusu yake.
Avatar you need to have simple marketing etiquettes. In this plot business you should give your contacts (phone, email, website ) and some other details like distance from power cables (tanesco), water mainlines (dawasco) accessibility by road etc.
kumbe ardhi ni mali namna hii.Ni kiwanja kimoja, hakijapimwa (Not Surveyed), kina ukubwa wa mita za mraba 2000, ila ukitaka nusu yake (mita za mraba 1000) unauziwa, kipo eneo la Kwembe, ni Kilomita 2.5 kutoka barabara ya Morogoro.
Bei ni TZS 10,000,000 kwa chote au Shilingi 5,000,000 kwa nusu yake.
Ni ujinga wetu tu wa kila mtu kutaka ardhi Dar ndiyo unafanya bei za ardhi zinakuwa juu kiasi hiki. Hiyo hela (10M) unaweza kununua kijiji kizima huko mkoa.kumbe ardhi ni mali namna hii.
Ni kiwanja kimoja, hakijapimwa (Not Surveyed), kina ukubwa wa mita za mraba 2000, ila ukitaka nusu yake (mita za mraba 1000) unauziwa, kipo eneo la Kwembe, ni Kilomita 2.5 kutoka barabara ya Morogoro.
Bei ni TZS 10,000,000 kwa chote au Shilingi 5,000,000 kwa nusu yake.