WANA-JF,
Kiwanja kizuri chenye ukubwa wa 50m x 50m, kata ya Bunju-Manispaa ya Kinondoni. Ni eneo zuri liko flat na liko karibu na Barabara itokayo Bunju B kwenda Mbezi kwa Luis-Morogoro Road. Ni eneo zuri sana kwa biashara na makazi. Na Kiwanja kimepimwa, na viwanja vya jirani tayari vimeendelezwa na vingine vinaendelezwa.
Bei ni Tshs. 20,000,000/= (Milioni Ishirini). Kwa wale watakaohitaji na wako serious wanaweza kuni-pm au wakawasiliana nami kwa e-mail: lindinachingwea@gmail.com.
Sababu ya kuuza: Nina family problem ambayo inahitaji ufumbuzi wa haraka sana.
Natanguliza shukrani.
TELO
Kiwanja kizuri chenye ukubwa wa 50m x 50m, kata ya Bunju-Manispaa ya Kinondoni. Ni eneo zuri liko flat na liko karibu na Barabara itokayo Bunju B kwenda Mbezi kwa Luis-Morogoro Road. Ni eneo zuri sana kwa biashara na makazi. Na Kiwanja kimepimwa, na viwanja vya jirani tayari vimeendelezwa na vingine vinaendelezwa.
Bei ni Tshs. 20,000,000/= (Milioni Ishirini). Kwa wale watakaohitaji na wako serious wanaweza kuni-pm au wakawasiliana nami kwa e-mail: lindinachingwea@gmail.com.
Sababu ya kuuza: Nina family problem ambayo inahitaji ufumbuzi wa haraka sana.
Natanguliza shukrani.
TELO