Kiwanja 21 metres by 18 metres, Mil 4 ASAP,
hakuna dalali, kipo Tabata Segerea Chama, kina hati
Call 0719129704, wahi mapema
Thanks
Hakuna dalali lakini naona wewe ni dalali. Hivi kwa akili yako kweli kiwanja kama hicho mtu akupe 4ml tena Dar!!!!! Labda kiwe eneo ambao ni la biashara vinginevyo utapeli.
Mhh hata mie nna wasiwasi. Arachuga hiyo utapata kuanzia 10 mil!
Njoo uone, kama unajua physical dimensions nimeandika
21 x 18 meters, sasa wengine mnauliza eti unaweza jenga room 3, sebule na jiko, hili ni eneo standard, piga simu hiyo hapo na uone, limepimwa, ni zuri kabisa....
Mkuu mara ya mwisho umenunua lini kiwanja Dar? Yaani bei hiyo unaiona kubwa mkuu? Tena Segerea? Haupo serious kabisa nakwambia. Viwanja Chanika huko 20x20 tena hata uhakika wa barabara hakuna vinauzwa milioni tatu, sembuse hiki na hati kinayo? Mkuu kama hujui uhalisia wa maisha bora usiseme.Hakuna dalali lakini naona wewe ni dalali. Hivi kwa akili yako kweli kiwanja kama hicho mtu akupe 4ml tena Dar!!!!! Labda kiwe eneo ambao ni la biashara vinginevyo utapeli.
Nyinyi mnaolalamika inaelekea hamjawahi kununua kiwanja Dar es Salaam. Hicho ni kiwanja kikubwa na bei ni nzuri tena kama kina hati ndio hiyo bei ni kama wanatupa tu. Kwa mnunuzi, hakikisha Kiwanja hakina mgogoro na neno wizara ya ardhi ukapate proof ya ownership. Jina la anayekuuzia na kwenye hati lisitofautiane hata ukipewa maelezo yenye utamu gani ya mdomo. Deal ni nzuri kwa kweli.
Nyinyi mnaolalamika inaelekea hamjawahi kununua kiwanja Dar es Salaam. Hicho ni kiwanja kikubwa na bei ni nzuri tena kama kina hati ndio hiyo bei ni kama wanatupa tu. Kwa mnunuzi, hakikisha Kiwanja hakina mgogoro na neno wizara ya ardhi ukapate proof ya ownership. Jina la anayekuuzia na kwenye hati lisitofautiane hata ukipewa maelezo yenye utamu gani ya mdomo. Deal ni nzuri kwa kweli.
Sisi ni wenyeji hapo chama tulinunua viwanja miaka mingi kwa mil5, huwezi kuuza kiwanja hapo kwa mil4, tena kina hati!ungesema hata mil.10 ningekuelewa kidogo. Kwa wasiojua mita 18 kwa uwanja wa football ni pale inapopigiwa penalt mpaka golini ,nenda uwanjani ukaangalie hiyo distance!