Sabode
Senior Member
- Apr 11, 2008
- 160
- 21
Heshima mbele wakula.
Jamani ni hv karibuni tu nimesikia kuwa Mh waziri mkuu akitoa maelekezo ya namna ya kuhakikisha huduma muhimu zinapatikana kwa kiwango ktk kiwanda chetu cha kuunda magari. NYUMBU.
Pia nilisha wahi kusikia story hiyo muda mreeefu sana ulopita. Sasa jamani swala lililo nisukuma kuandika hapa ni kuwa hata siku moja sijawahi liona hilo NYUMBU lenyewe likoje.
Na swala jingine hayo magari yanatengenezwa kwa ajili ya jeshi tu au hata raia waweza nunua?
Mali ghafi zinatoka hapa tz au nje?
Pamajo na vingine vya kuunga Scania na Opel vimeuawa na nini?
Kwa nini visirudishwe tupate ajira tuimarishe uzalishaji, hata valmet nasikia tulisha wahi kuwa na kitu ka kiwanda ya kuunganisha.
Haya mambo ni kweli jamani? yakowapi sasa? kwa nini? Why? who? when?
Kama kuna mtu ana picha ya NYUMBU naomba aniwekee hapa nilione chuma letu.
Jamani ni hv karibuni tu nimesikia kuwa Mh waziri mkuu akitoa maelekezo ya namna ya kuhakikisha huduma muhimu zinapatikana kwa kiwango ktk kiwanda chetu cha kuunda magari. NYUMBU.
Pia nilisha wahi kusikia story hiyo muda mreeefu sana ulopita. Sasa jamani swala lililo nisukuma kuandika hapa ni kuwa hata siku moja sijawahi liona hilo NYUMBU lenyewe likoje.
Na swala jingine hayo magari yanatengenezwa kwa ajili ya jeshi tu au hata raia waweza nunua?
Mali ghafi zinatoka hapa tz au nje?
Pamajo na vingine vya kuunga Scania na Opel vimeuawa na nini?
Kwa nini visirudishwe tupate ajira tuimarishe uzalishaji, hata valmet nasikia tulisha wahi kuwa na kitu ka kiwanda ya kuunganisha.
Haya mambo ni kweli jamani? yakowapi sasa? kwa nini? Why? who? when?
Kama kuna mtu ana picha ya NYUMBU naomba aniwekee hapa nilione chuma letu.