miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,975
mmh aisee kwa sisi tusiojua kuogelea liishe tu .. nashindwa hata kufanya mamabo ya maendeleo kibande ile sababu ya kupanda kivukoMambo?? The Boss na Barbarrosa wanasema lile daraja ni matumizi Mabaya ya pesa, bora zingejengwa hospital zenye hadhi sawa na Amana ili kupunguza ziara Za Mh kiongozi muhi3.