Na Bahari je?Wengine tumekulia kusikokuwa na mabwawa wala mito.
SafisanaMlisema Magufuli kapanga mradi usio na manufaa sasa wapige mbizi kwa sababu hakuna namna maana binadamu hawana chema kila uchao Magufuli mbaya let them know what is better for them
Wengine tumekulia kusikokuwa na mabwawa wala mito.
Bahari nimeijua ukubwani ndio najifunza hivi sasa kuogeleaNa Bahari je?
Mimi kukoga nimejulia maji Chumvi (Maji ya Bahari)
Hahahaah nitajifunza mengi nikihamia hukoMkuu itabidi ktk research yako hamia kigamboni angalau kwa wiki 2 tu,hehehehe
Safi sana mtu wangu.Bahari nimeijua ukubwani ndio najifunza hivi sasa kuogelea
Hahahaah nitajifunza mengi nikihamia huko