GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,646
- 109,031
Ukiwatizama Yanga SC katika kila Idara na kuangalia Fitness yao hasa kwa Mchezaji mmoja mmoja na ukawalinganisha na wa Azam FC na current performance yao ambayo ni ya kusuasua bado nawaona Yanga SC si tu ni favourite katika Mzizima Derby ya leo bali pia ni Title Contender ambao nilishasema (japo GENTAMYCINE) mimi ni mwana Simba SC lia lia kuwa hata Msimu huu wa 2022/2023 NBC Premier League bado Yanga SC itabeba Kombe.
Ushindi mkubwa kwa Azam FC leo yenye mapungufu makubwa hasa golini (kwa Makipa wake) na safu yake ya ulinzi ni kutoka suluhu (bila kufungana) au sare (ya magoli sawa) ila wa kufungwa nawapa 85% kutokana na mtizamo wangu ambao sikulazimishi uukibali/uuamoni ila uheshimu tu.
Merry Christmas JF Members wote!
Ushindi mkubwa kwa Azam FC leo yenye mapungufu makubwa hasa golini (kwa Makipa wake) na safu yake ya ulinzi ni kutoka suluhu (bila kufungana) au sare (ya magoli sawa) ila wa kufungwa nawapa 85% kutokana na mtizamo wangu ambao sikulazimishi uukibali/uuamoni ila uheshimu tu.
Merry Christmas JF Members wote!