sawa anna na hongera sana ..
khakhaaaa unamasnisha nini unaposema atafute pa kutokea???Inategemea.Angalia shughuli zake kama zimechange sana kiasi cha kumfanya kupunguza baadhi ya vitu.bt sio kupungua kiasi cha uliyoyaandika.unless otherwise Tafuta pa kutokea
ila mapenzi haya acha tu lakini
Inategemea.Angalia shughuli zake kama zimechange sana kiasi cha kumfanya kupunguza baadhi ya vitu.bt sio kupungua kiasi cha uliyoyaandika.unless otherwise Tafuta pa kutokea
I always think of doing so kwa ku- mute for a while but nashindwa..ila sasa im already fade up...
Ukiona manyoya ujue .....!!!
bado sijayaona labda kama ameyaficha..