NSWECKY
Senior Member
- Feb 22, 2013
- 140
- 214
Habari za mchana wadau
Moja kwa moja niende pointini, Hivi kunakuwa na nini kinachofanya mpenzi wako wa karibu akasitisha au kubadili style fulani ya maisha ambayo alikuzoesha?
Kwa mfano zamani mlikuwa mkiwasiliana 24/7 either kwa kuchat kwa sms au kuongea lakini nowadays hola. zamani simu kutwa mlichaji hata mara 5 nowadays unachaji mara 1 tu na chaji haiishi.
Zamani mlijiunga cheka zogo ya dakika 90 hata mara 4 mkaongea mpaka saa 7 usiku nowadays hata ya 250 zile dk 8 mpaka zinaexpire, maneno yote matamu uliambiwa sasaivi hata I love u unaisikia kwa jirani au mpaka umwambie ndio aitikie I love u too.
Zamani phone sex kila siku saivi mpaka ushasahau.
Zaman kila alichokua anafanya aliku-update saivi mpaka umuulize unafanya nini mbona kimya?
Seriously it hurts kwakwel na kukufanya udoubt japo huujui ukweli but automatic mazingira yatakupelekea kweny kuwaza kinegative zaidi.
Kama umemchoka just tell him/ her so that can know where to stand.
And if not why so?
Moja kwa moja niende pointini, Hivi kunakuwa na nini kinachofanya mpenzi wako wa karibu akasitisha au kubadili style fulani ya maisha ambayo alikuzoesha?
Kwa mfano zamani mlikuwa mkiwasiliana 24/7 either kwa kuchat kwa sms au kuongea lakini nowadays hola. zamani simu kutwa mlichaji hata mara 5 nowadays unachaji mara 1 tu na chaji haiishi.
Zamani mlijiunga cheka zogo ya dakika 90 hata mara 4 mkaongea mpaka saa 7 usiku nowadays hata ya 250 zile dk 8 mpaka zinaexpire, maneno yote matamu uliambiwa sasaivi hata I love u unaisikia kwa jirani au mpaka umwambie ndio aitikie I love u too.
Zamani phone sex kila siku saivi mpaka ushasahau.
Zaman kila alichokua anafanya aliku-update saivi mpaka umuulize unafanya nini mbona kimya?
Seriously it hurts kwakwel na kukufanya udoubt japo huujui ukweli but automatic mazingira yatakupelekea kweny kuwaza kinegative zaidi.
Kama umemchoka just tell him/ her so that can know where to stand.
And if not why so?