B'REAL
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 4,279
- 2,733
wapendwaa hii imetokea kwenye campenii igungaa,wiki km mbili,jamaa anaitwa musa tesha...ni mpigaa debe au kelelee wa CCM,alijikuta hoi bin taaban hosptali baada ya kumwagiwaa tindikaliii aka acid na mtu asiejulikana,wakati akimnadi mgombea wake wa CCM kwa mbwenbwee.hadi leo haijajulikana nanii au ni chamaa gani???naomba kuwakilisha