sinaham
Member
- Mar 31, 2024
- 70
- 81
Picha inasomeka na inaelezea
Diamond alikuwa ameshatoja kimaisha. Dogo alikuwa akiishi getting kwa namna walivyovaa tu.
Lkn baadae wakagombana kwamba afya ya kinaisha ilistahili ichukue nafasi yake. Ni sawa konde alivyosepa. Kuna inhuman ilifanyika, yalikuwa makosa ya mond na crew yake.
Monde alistahili heshima yake na kinde alistahili kuondoka kupambana na maisha meingine.
Tatizo lipo wapi?
Diamond alikuwa ameshatoja kimaisha. Dogo alikuwa akiishi getting kwa namna walivyovaa tu.
Lkn baadae wakagombana kwamba afya ya kinaisha ilistahili ichukue nafasi yake. Ni sawa konde alivyosepa. Kuna inhuman ilifanyika, yalikuwa makosa ya mond na crew yake.
Monde alistahili heshima yake na kinde alistahili kuondoka kupambana na maisha meingine.
Tatizo lipo wapi?