Wewe yako ujasema mkuu ๐๐๐๐Habari zenu,
Huu ni uzi maalumu kwa watu ambao wanatamani kuacha kufanya jambo fulani lakini imekuwa ngumu kwao.
Funguka hapa huenda ukapata msaada na ukaweza kuyashinda yanayokutatiza.
Sema tutakusaidia ๐๐๐๐๐๐๐Yangu hadi naona aibu kuiandika๐ก
Kunywa pombe ni dhambi...๐๐๐Bia aisee huwa nikinywa napata amani sana ya roho, sijui kama ntakuja kuacha
Utaacha tuu ikifikia maximum point ambayo no elastic limitNyeto mazeee....
Nishaijua.Yangu hadi naona aibu kuiandika๐ก
Hiyo hiyoo๐๐. Sasa hata kama ni wewe ungeandika?Nishaijua.
Weeeee labda sio jf hii. Huu mtandao ni wa kuishi nao kwa tahadhari๐Sema tutakusaidia ๐๐๐๐๐๐๐
Kama ndo hiyo ..Hiyo hiyoo๐๐. Sasa hata kama ni wewe ungeandika?
๐๐ unaweza shtuka pimbi imeleta reference na hapo tushafika 2045Weeeee labda sio jf hii. Huu mtandao ni wa kuishi nao kwa tahadhari๐
Samehe 7ร70 ๐๐๐Ukinikwaza na unajua fika umeharibu, usiposema sorry. Subiria kufungiwa viooโฆ najitahidi sana kujitune ila wapiii
Hii kawaida, tena tunadance kabisaJamani nimeshindwa kuacha, napenda kujiangalia kwenye kioo...