Kitu gani kilikufanya ukampenda sana mpenzi wako?

Utakosaje sasa mjukuu?

Naweka ndani ka kufa nako sasa hata iweje. Nitakutonya na rukhsa kazini nitakuombea mjukuu.

Na itakubidi pengine uje na babu yako wa mchongo
Babu naamini maombi yamejibiwa,iwe kheri,

Mimi rukhsa ipo yaani,

Itabidi nije na ki Babu cha mchongo Grahams aje acheze amapiano.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
She was my friend for 2 years

Mwanzo nilipenda Chura wake. Nikajiapia huyu lazima nimtafune ipo siku.


2020 after my birthday nikaanza utaniutani kumchokoza, (sikuwahi kumtongoza). Utani romantic including kuitana romantic names.

Utani ukawa mwingi lakini pia nikawa namjali sana. After 3 month ikawa serious.

Forth month nikafanikiwa kumla.

Tukaja tukapitia kigumu sana. Nilitengeneza mtego wa kumuacha. Actually nilitengeneza sinema ambayo at the end of the day yeye alijiona kama mkosaji ila kichwani mwake alikuwa anawaza kwamba kuna kamzunguka.

Nikambana angle fulani hivi halafu nikampotezea.

After 3 weeks akaanza kunisumbua kwamba she need tuonane tuongee(Tulikuwa mikoa tofauti).

Nikamzungusha two good months. Baada ya hapo ndio tukaja tukayajenga. Tukaendelea na uhusiano wetu.

Its two years now soon tutatambulishana kwa wazazi.

She is a complete package.

Ana huruma, anajali, n.k.

The moment tunakutana hakuwa na pesa na nilijitahidi kushow up kwenyw baadhi ya ishu zake.

Kwa sasa hata nikiwa na shida ya 2m atashow up faster sana. Japo sizitaki pesa zake.
Na haitakiwi kabisa uzitake..siku ukijichanganya ukaonyesha tuu dalili ya kuzitaka pesa zake hakika umeumia...

Na bandiko hili libandikwe kwenye kitanda chako.



Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Uwezo wake tu wakunifanya niwe na kiu ya mafanikio na kuweka malengo ya mda mrefu na mfupi na kusave hela nazompa mwisho wa siku na kutimiza malengo hilo tu lilinifanya ni mpende fikiria unaishi naye miezi 6 na kila siku una mwachia hela ya matumizi elfu kumi anajitaid mnakula buk 4 mpk 5 mwisho wa siku anakuja kukuambi nimesave kiasi flan daah
Kama ana mdogo wake na yupo smart na mtaka

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Moja ya vitu vigumu kuvielezea mbele za watu ni hisia za upendo. Hata ukimuuliza mtu aliyeoa/kuolewa, sababu iliyomfanya kumpenda mwenza wake, majibu mengi yatakuwa ni kwasababu ni mcha Mungu, ana heshima, yuko smart sana.

Lakini mtaani wenye sifa hizo wapo wengi, swali gumu kuelezea linabaki ni kipi hasa kimefanya umchague huyo na uache wengine wenye hizo sifa?

Vipi kwa upande wako mwana JF, kipi kilikufanya ukampenda sana?
Kumkuta bikra, hana njaa, mideko, msumbufu yaani kukupigia simu 10 kitu cha kawaida, mtulivu mnoooooooo
 
Alikua hana hata sifa moja ya kupendwa na wanaume tako, rangi, nywele, hipsi, paja, vidole, miguu, sura, macho, shepu yani haeleweki na alikua akitengwa sana na kuchukiwa sana mpaka na wasichana wenzake na alikua mpweke sana na masikini mno. Wazazi na ndugu zake walimtelekeza

Nilimpendea hayo mazingira yake ya kuchukiwa na kutengwa sana, kijana wa watu nikasema acha niwe nae ili na yeye ajifeel ana haki kama mwanamke ila alikua hana mvuto wowote wala akili hana, alikua akitumia akili zangu na status yangu kuishi na jamii .

Mwisho wa siku alinipiga na kitu kizito sana kisicho vumilika, ila alikuja kujiita yeye ni shetani na sahivi ni single mama.

Sina huruma tena na mwanamke yeyote, ila nikija kuoa, mke wangu nitampenda na kumuhurumia japo sito muonyesha




Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Alikua hana hata sifa moja ya kupendwa na wanaume tako, rangi, nywele, hipsi, paja, vidole, miguu, sura, macho, shepu yani haeleweki na alikua akitengwa sana na kuchukiwa sana mpaka na wasichana wenzake na alikua mpweke sana na masikini mno. Wazazi na ndugu zake walimtelekeza

Nilimpendea hayo mazingira yake ya kuchukiwa na kutengwa sana, kijana wa watu nikasema acha niwe nae ili na yeye ajifeel ana haki kama mwanamke ila alikua hana mvuto wowote wala akili hana, alikua akitumia akili zangu na status yangu kuishi na jamii .

Mwisho wa siku alinipiga na kitu kizito sana kisicho vumilika, ila alikuja kujiita yeye ni shetani na sahivi ni single mama.

Sina huruma tena na mwanamke yeyote, ila nikija kuoa, mke wangu nitampenda na kumuhurumia japo sito muonyesha




Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hahah..umem define with vivid example.
 
Wangu ana matege yale ya ndani so akitembea anakuwa kama miss yupo kwenye stage so kiufupi naufeel sana ule mwendo japo yeye mwenyewe haupendi hata kidogo ndo hvyo hana namna tena .
 
Back
Top Bottom