The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 3,445
- 8,300
Jionee Mwenyewe.
Huyu mother hakwepeshi maneno
Huyu mother hakwepeshi maneno
Mother inaonekana hata Kitila hamjuiDadeki inatakiwa kwenda hivi. Tupunguze unafiki
😂😂😂Kihasibu hii inaitwaje OKW BOBAN SUNZU
Huyo Mkumbo sura yake tu inaonekana ni mnafiki asiye na aibu
Amjue ana faida gani?Mother inaonekana hata kitila.hamjui
Kitila anaenda huko na porojo zake za uchawa-chawa. Zanzibar wao mambo ya uchawa na kujipendekeza hakuna. Hata Zitto hawezi kuongoza chenye chenye influence Zanzibar kwa sababu ana tabia za uchawa na unafiki. Alivyoondoka kwenye uongozi imekuwa bora.Dadeki inatakiwa kwenda hivi. Tupunguze unafiki
Alaile leani, iza dhu!
Huyu jamaa Mkumbo ni mmoja ya watu wa hovyo kabisa. Ni wale wanasiasa wanaofanya siasa kwa sababu ya matumbo yao.Huyo Mkumbo sura yake tu inaonekana ni mnafiki asiye na aibu
Wazanzibar nawapenda Sana nimemkumbuka EX_wangu yule dada alikua na upendo Sana na ongea yake Kama huyu mmama 😊😊😊😊
Kafanya makusudi kujifanya amesahau jina.