duuuh masharti mengine magumu..je huwa anaenda nacho nje ya inji hii?..gharama ya kutunza hicho kiti tungeweza hata kuongeza megawati 1 kwenye gridi ya taifa..
Ina maana mnamaanisha ni kweli kiti cha rais ni kile kile na anasafiri nacho kila aendako ndani ya nchi?
Kama ni hivyo kwa nini basi Tz isiwe nchi ya kwanza duniani kuamini uchawi, kama inavyochukuliwa? Maana hapa kwetu vitendo hivi vya ushihiri vinaanzia ikulu kushuka mpaka ngazi ya shina.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.