MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 4,860
- 15,205
Au redio mariaWewe TBC taifa inakufaa sana au Wapo radio.
Au redio mariaWewe TBC taifa inakufaa sana au Wapo radio.
Yes Hando anakula sana tungi na ana kismati cha mademu. Zembwela anavuta sana bange. Ila Hando ni mmoja ya watangazaji very smart kuwai kutokea hapa bongo. Kwa kizazi cha sasa wakushindana nae ni Kipanya labda.Sema Hando tungi linamzeesha
Kabisaaa. Hizi radio zetu vijana zitakuboa tu.Au redio maria
Hujalazimishwa uwakubali, kama wameajiriwa na wanakula kwa hizo kelele nashauri waongeze VOLUME😂😂😂Waambie waendelee kupiga Makelele, ila hamna Kitu kabisa.
Kwani ni kijana?Sema Hando tungi linamzeesha
Madhaifu yao tuwaachie wao, kila mtu sna upande wa pili wa gizaYes Hando anakula sana tungi na ana kismati cha mademu. Zembwela anavuta sana bange. Ila Hando ni mmoja ya watangazaji very smart kuwai kutokea hapa bongo. Kwa kizazi cha sasa wakushindana nae ni Kipanya labda.
Ni kweli mkuu.Madhaifu yao tuwaachie wao, kila mtu sna upande wa pili wa giza
Nimependa sana hapoKwa makelele wanayopiga huwa mara moja moja nawasikiliza kwenye mwendo kasi tu, hakuna ubunifu ni kupayuka tu na mizaha isiyokua na tija, kuna jamaa mmoja yuko wasafi yule aliyewahi kufanya mahojiano na pole pole jamaa yuko smart sana kichwani na anaufahamu wa kutosha sema Genge analokaa nalo studio huwa linafifisha kipaji chake.
Halafu wote ni wazee wa kobaziWafatiliaji wa soka wanafahamu ule utatu ambao haujawai tokea mpaka leo pale Galacticos mpaka leo. Ilikuwa huku Ronaldo de Lima, kule kuna Luis Figo alafu kuna kipara mwenyewe Zinadine Zidane...
No contentNimependa sana hapo
"Ni kupayuma tu na mizaha isiyokua na tija"
Hakuna kitu hapa,ni makelele tu,na comedy kibao,ishu wanazoongea ni bongo fleva,maisha ya wasanii,mabinti,na kuchambua mpira,hawana uwezo wa kudadavua vitu vizito kama tofauti ya global south na global north, vita ya Sudan,isues za Libya,Ukraine,geopolitical matters,Wafatiliaji wa soka wanafahamu ule utatu ambao haujawai tokea mpaka leo pale Galacticos mpaka leo. Ilikuwa huku Ronaldo de Lima, kule kuna Luis Figo alafu kuna kipara mwenyewe Zinadine Zidane...
Hapo Kenya tu ,hakuna wasoma magazeti wenye makelele na utoto kama hawa,eti Mende,Chumvi na Ndimu. Any way ndo reflection ya wasikilizaji wao.Nchi zilizoendelea ndio zimejaa watangazaji wa aina hii. Usitumie hisia.
Anaitwa charz yule Jamaa anajua sema anafanya Kazi na wapumbavu.Kwa makelele wanayopiga huwa mara moja moja nawasikiliza kwenye mwendo kasi tu, hakuna ubunifu ni kupayuka tu na mizaha isiyokua na tija, kuna jamaa mmoja yuko wasafi yule aliyewahi kufanya mahojiano na pole pole jamaa yuko smart sana kichwani na anaufahamu wa kutosha sema Genge analokaa nalo studio huwa linafifisha kipaji chake.
Binafsi sio muumini sana wa makelele, acha niendelee kuskiza Power Breakfast tu. Sijaona morning program yyte kuizidi, mwaka wa 12 sasa nawaskiliza.
Hapo Clouds anayejua ni Masoud tu waliobaki wengine wapiga domo. Eti dj Fetty naye mchambuzi 😅Masoud kipanya ndo mtangazaji namba moja anayejielewa kwa vipindi vya Ahsubui Hawa wengine wajifunze kupitia kwa Masoud kwanza. Clouds wanajua Mambo ta kuzingatia