Papi Mucho
Member
- Aug 19, 2010
- 26
- 7
Ni cheupe kama barafu na ni cheusi kama giza. Kuliwa ni HARAMU na kunywewa ni HALALI, kina herufi (5) na kinaanza na herufi (M). Kinatumiwa na wanaume mara tatu kwa siku na kinatumiwa na wanawake mara moja tu katika umri wao,Je ni kitu gani hicho?