Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,573
Huna relatives wanohitaji hicho kitanda? Si kila kitu kinafaa kuuzwaHabari
Kitanda cha kizamani 4*6 mninga na godoro lake naviuza kwa pamoja elfu 70. Kipo Kigamboni mbele ya Kibada. Godoro halijachoka lipo safi.
Nimeambatanisha na picha. Mawasiliano 0622 426120.
View attachment 1694951View attachment 1694952